CV ya Freeman Mbowe hii hapa

Status
Not open for further replies.
Bora ilioko empty kuliko hii ambayo haieleweki
1463309157665.jpg
 
Jamaa alipata Sufuri kabisa kidato cha sita..na hapo alikuwa ana piga chabo!
 
Zero unaindikaje kwa KUB na kiongozi wa vyama vitano vya upinzani nchini ni aibu kwa taifa kuwa na mbadala wa waziri mkuu mjinga aliyepata division zero shuleni:

niabu kwa wanachadema wanajiona wasomi huku wakiongozwa na mjinga aliyepata sifuri shuleni eti ataleta mabadiliko.

Ni upuuzi kwa vijana wa ukawa kumtaja mbunge aliyepata division four huku wao wakiongozwa na mwenye zero
 
Zero unaindikaje kwa KUB na kiongozi wa vyama vitano vya upinzani nchini ni aibu kwa taifa kuwa na mbadala wa waziri mkuu mjinga aliyepata division zero shuleni:

niabu kwa wanachadema wanajiona wasomi huku wakiongozwa na mjinga aliyepata sifuri shuleni eti ataleta mabadiliko.

Ni upuuzi kwa vijana wa ukawa kumtaja mbunge aliyepata division four huku wao wakiongozwa na mwenye zero
 
Watanzania tumerogwa na elimu za darasani,Mimi nadhani ni tunapaswa kuangalia ,what they deliver?sasa ndio uongelee kuhusu Mbowe,yawezekana hajasoma sana,sijui!!!lakini nachojua anakitu kichwani tofauti na yule dada
 
Acheni madharau aisee. Yule jombaa kichwa. Enzi zile alikuwa akikamata santuri pale Billcanas ili full majoto hakuna kusanda!

Saa hii anakimbiza mbaya na soon ataanza uimarishaji wa chama mikoa yote.

Kusomeana CV ni kuchojoana manguo kwa hadhara, tumpime kwa utendaji
 
Sio ya Mbowe tu hata ya yule Upendo peneza aliyetaka kupunguwa miaka ya kusoma udaktari nayo ni empty
 
Zero unaindikaje kwa KUB na kiongozi wa vyama vitano vya upinzani nchini ni aibu kwa taifa kuwa na mbadala wa waziri mkuu mjinga aliyepata division zero shuleni:

niabu kwa wanachadema wanajiona wasomi huku wakiongozwa na mjinga aliyepata sifuri shuleni eti ataleta mabadiliko.

Ni upuuzi kwa vijana wa ukawa kumtaja mbunge aliyepata division four huku wao wakiongozwa na mwenye zero
Bavicha ya sasa ni wazungusha mikono tu
 
Jamaa pamoja na kuwa alipata ziro form six lakini namsifia sana kuweza kawongoza nyumbu wengi tu, hawana ujanja kwake.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom