mgangawaukoo
JF-Expert Member
- May 8, 2016
- 2,183
- 2,385
Yupo ktk mgomo.
Si mgomo bali hana cha kujazaYupo ktk mgomo.
Unaonekana mkorofi wewe.CV yake imejaa utupu
Bavicha ya sasa ni wazungusha mikono tuZero unaindikaje kwa KUB na kiongozi wa vyama vitano vya upinzani nchini ni aibu kwa taifa kuwa na mbadala wa waziri mkuu mjinga aliyepata division zero shuleni:
niabu kwa wanachadema wanajiona wasomi huku wakiongozwa na mjinga aliyepata sifuri shuleni eti ataleta mabadiliko.
Ni upuuzi kwa vijana wa ukawa kumtaja mbunge aliyepata division four huku wao wakiongozwa na mwenye zero