Wasifu wa Dkt. Hussein Mwinyi utata mtupu!

jambo moja ni dhahiri kwa sisi tuliosoma naye, asingeweza kujiunga muhimbili kwa kuwa alipata division four ya PCB, PIA NILISHANGAA KUSIKIA NI WAZIRI WA ULINZI NA KUJEGA TAIFA WAKATI ALIACHENGA KWENDA JKT WAKATI ULE KWA MUJIBU WA SHERIA. WAKATI FULANI 1990s, UDSM WALIKUJA JUU BAADA YA SERIKALI KUMKOMOA MATIKO MATARE YULE KIONGOZI WAO WA DARUSO AAMBAYE HAKUWA AMEENDA JKT, AKAWA AMEKAMATWA ILI APELEKWE JKT KWA NGUVU, UDSM WAKAJA JUU WAKATAKA NA HUSEIN ALI HASSAN MWINYI ARUDISHWE TOKA UTURUKUI APELEKWE JKT! HAPO DILI LIKAYEYUKA
 
kwa wale wasomaji wa gazeti la MFANYAKAZI miaka ya tisini waliibuka na skendo la huyu Dr mwinyi kamdhulumu mwanafunzi mwenzake waliokuwa wanasoma huko nje. kwa mujibu wa habari ilikuwa huyo jamaa alimpa kifurushi awaletee ndugu zake Dr Mwinyi kasunda pembeni! lakini story ilizimwa zimwa kiana. my point ni kuwa mtu akikosa uaminifu huendelea kukosa uaminifu mpaka kiama. hawa ndio viongozi wa CCM.
 
MIMI NINAVYOFAHAMU NI KWAMBA DKT MWINYI AMESOMA COMPETENTLY NA NI QUALIFIED PHYSICIAN. Ama kuhusu hii CV sina uhakika ni nani kaichakachua. Kazi yake aliyokuwa akiifanya kabla ya kuanza siasa mwaka 2000 ilikuwa ni Mhadhiri, uhadhiri hauendani na uchakachuaji wa elimu

Mzumbe walikuwepo wengi sana ambao wanazo za Pacific Western University ambacho ni chuo cha online na wala vyeti vyake havitambuliki katika academic world.

Kwa hiyo, sio kwamba wahadhiri wote sio wachakachuaji, wako kibao tu na hasa kwenye hivi vyuo binafsi vilivyoanzishwa. TCU huwa wanafuatilia sana wakati wa kusajiri chuo, baada ya hapo sina hakika kama huwa wanafuatilia tena.

Madudu ya PhD fake za Mzumbe ambako wengine walishapeana mpaka u-Profesa, ziligundulika wakati wa kui-transform Mzumbe from IDM to Mzumbe University.

Kwa nyongeza tu, hata TCU wanapoamua kukagua baadhi ya vyuo, wakuu wa academics kwenye hivyo vyuo huwa wanaficha majina ya baadhi ya wahadhiri kwa kuwa lazima waambatanishe CV na transcript zao ili kuona kama wana-meet minimum requirement za kuwa wahadhiri na ku-verify kama degree zao ni genuine au fake. Kuna uhuni mwingi sana unafanyika na unaweza kushangaa kuna vyuo haviweki wazi orodha ya wahadhiri wake kukwepa hayo madongo. Huko kwenye vyuo vya binafsi mpaka watu wenye bachelor za GPA ya 3.3 wanaibua ajira kama kawa. Tofauti na vyuo kama UD, Muhimbili na SUA ambako lazima uwe na angalau GPA ya 3.8.
 
tafuteni watu wengine wa kuwasimanga kielimu..........lakini sio Dr. Hussein Mwinyi...........jamaa ana uwezo mkubwa darasani........semeni kingine lakini sio elimu yake.........
 
jambo moja ni dhahiri kwa sisi tuliosoma naye, asingeweza kujiunga muhimbili kwa kuwa alipata division four ya PCB, PIA NILISHANGAA KUSIKIA NI WAZIRI WA ULINZI NA KUJEGA TAIFA WAKATI ALIACHENGA KWENDA JKT WAKATI ULE KWA MUJIBU WA SHERIA. WAKATI FULANI 1990s, UDSM WALIKUJA JUU BAADA YA SERIKALI KUMKOMOA MATIKO MATARE YULE KIONGOZI WAO WA DARUSO AAMBAYE HAKUWA AMEENDA JKT, AKAWA AMEKAMATWA ILI APELEKWE JKT KWA NGUVU, UDSM WAKAJA JUU WAKATAKA NA HUSEIN ALI HASSAN MWINYI ARUDISHWE TOKA UTURUKUI APELEKWE JKT! HAPO DILI LIKAYEYUKA

Alaa! Hivi ni Raisi gani alivunja JKT?
 
Mzumbe walikuwepo wengi sana ambao wanazo za Pacific Western University ambacho ni chuo cha online na wala vyeti vyake havitambuliki katika academic world.

Kwa hiyo, sio kwamba wahadhiri wote sio wachakachuaji, wako kibao tu na hasa kwenye hivi vyuo binafsi vilivyoanzishwa. TCU huwa wanafuatilia sana wakati wa kusajiri chuo, baada ya hapo sina hakika kama huwa wanafuatilia tena.

Madudu ya PhD fake za Mzumbe ambako wengine walishapeana mpaka u-Profesa, ziligundulika wakati wa kui-transform Mzumbe from IDM to Mzumbe University.

Kwa nyongeza tu, hata TCU wanapoamua kukagua baadhi ya vyuo, wakuu wa academics kwenye hivyo vyuo huwa wanaficha majina ya baadhi ya wahadhiri kwa kuwa lazima waambatanishe CV na transcript zao ili kuona kama wana-meet minimum requirement za kuwa wahadhiri na ku-verify kama degree zao ni genuine au fake. Kuna uhuni mwingi sana unafanyika na unaweza kushangaa kuna vyuo haviweki wazi orodha ya wahadhiri wake kukwepa hayo madongo. Huko kwenye vyuo vya binafsi mpaka watu wenye bachelor za GPA ya 3.3 wanaibua ajira kama kawa. Tofauti na vyuo kama UD, Muhimbili na SUA ambako lazima uwe na angalau GPA ya 3.8.

Mnapozungumzia GPA ni vema mkaainisha scale. GPA ya 3.3 kwenye scale ya 4.0 ni tofauti na ikiwa kwenye scale ya 5.0
 
- Sawa sawa mkuu, balanced na imetulia sana!, labda tuseme mapungufu yake kiuongozi lakini siamini kwamba elimu yake ina utata hata kidogo!


William.

William we ubashabukia vitu vya kijinga namna hii hapo huoni utata nimeshakutoa katika watu wa maana kabisa huna maana
 
Printing error or purposely TEMPERED:A S cry::sad:

Tampered.


Hivi kwanza hiyo CV imepatikana wapi? Kama ni kwenye tovuti ya Bunge basi msijishughulishe nayo maana asilimia 95 ya CV zilizomo kwenye hiyo tovuti hazina ukweli wowote.
 
Bwana Makame kuwa Mhadhiri haimaanishi kuwa una elimu kubwa. Inategemea ni Uhadhiri wa Chuo gani na Kipi.
 
Kwani Hayupo kwenye list ya Kainerugaba msemakweli? Wasomi wa tz si mchezo hadi Augistino Lytonga nae ni Dr.(Phd Holder)
 
Bwana Makame kuwa Mhadhiri haimaanishi kuwa una elimu kubwa. Inategemea ni Uhadhiri wa Chuo gani na Kipi.

Kariuki ndio kilikuwa kinaanza, lazima kipate wahadhiri wenye weledi wa shughuli hiyo. Aidha, University mpya zilikuwa ziko constantly screened na Higher Education Accredetation Council (HEAC).

Ama kwenye hili la CV ya Dkt Mwinyi katika suala la elimu, sio suala la kujadiliwa. Kaulizeni Muhimbili kwa akina Profesa Mtulia, Kahamba na wengine
 
Kuna tatizo kwenye CV za Wabunge wengi tu, watu wa IT pale Bunge wanapaswa kuhakiki taarifa walizopelekewa kama wamezibandika kwa usahihi.

Tusiwahukumu Wabunge Kwanza!
 
MIMI NINAVYOFAHAMU NI KWAMBA DKT MWINYI AMESOMA COMPETENTLY NA NI QUALIFIED PHYSICIAN. Ama kuhusu hii CV sina uhakika ni nani kaichakachua. Kazi yake aliyokuwa akiifanya kabla ya kuanza siasa mwaka 2000 ilikuwa ni Mhadhiri, uhadhiri hauendani na uchakachuaji wa elimu


Alikuwa Mhadhiri wapi?? Certainly siyo Muhimbili!!!

Kama CV imechakachuliwa, kwa nini hajaisahihisha???

 
Back
Top Bottom