Calnde
JF-Expert Member
- Oct 7, 2008
- 1,373
- 277
Hizo sehemu mbili nyekundu, there has to be a mistake - aliwezaje kuwa Board member wakati akiwa mwanafunzi katika chuo hichohicho?
Dah umeona jambo muhimu mkuu. Halafu adv dipl miaka mingapi vile?
Hizo sehemu mbili nyekundu, there has to be a mistake - aliwezaje kuwa Board member wakati akiwa mwanafunzi katika chuo hichohicho?
SPECIAL SKILLS | |||
Skill Name or Description | Years Experience | Acquired Through | Skill Level |
RECOGNITIONS | ||||
Recognition Type | Recognition Date | Reason | Action Taken | Issued by |
Hizo sehemu mbili nyekundu, there has to be a mistake - aliwezaje kuwa Board member wakati akiwa mwanafunzi katika chuo hichohicho?
Aisee kumbe mama kapiga shule ya haja. Kichwa si mchezo.
UDSM wamtunuku kale kadigrii ketu ka udaktari bana.
Awe na kacheo kama ka Prezidaa.
magwanda mmekosa kazi ya kufanya baada ya kutolewa kapa bungeni, sasa mmeamua kuvamia CV za watu! naomba mnapojadii CV ya spika wetu mpendwa zingatieni mambo yafuatayo:Kama alisoma Administration Course (which I doubt kama Mzumbe walishawahi kutoa kozi ya aina hii)
Je aliwezaje kuwa Mhasibu (Auditor)? Hii CV imechakachuliwa.
Hizo sehemu mbili nyekundu, there has to be a mistake - aliwezaje kuwa Board member wakati akiwa mwanafunzi katika chuo hichohicho?
Hizo sehemu mbili nyekundu, there has to be a mistake - aliwezaje kuwa Board member wakati akiwa mwanafunzi katika chuo hichohicho?