CV ya Anna Makinda (spika wetu) ni hii HAPA

Status
Not open for further replies.
Kumbe huyo Anna seMAMBA makinda hata degree hana..ndio maana hakuna lolote analolijua.
 
Unaweza ukawa umesoma sana,ukawa na vyeti vng sn,lkn ikumbukwe kusoma na kuelimika ni v2 tofauti kabisa

Yeye hana kati ya hivyo unavyolinganisha, yaani hana kisomo na hajaelimika. Poleni mnaomfuata blindly
 
Hizo sehemu mbili nyekundu, there has to be a mistake - aliwezaje kuwa Board member wakati akiwa mwanafunzi katika chuo hichohicho?

hapo hapo kwenye nyekundu ya kwanza : Advance diploma ilikuwa inasomwa kwa miaka mitatu! Yeye alisoma miaka minne lazima alinyakwa mwaka mmoja huyo!!!
 
Institute of Development & Management - MorogoroAdministration Course19711975ADV DIPLOMA
Kilakala Girls' Secondary School(Marian College)A-Level Education19691970HIGH SCHOOL
Masasi Girls' Secondary SchoolO-Level Education19651968SECONDARY
Peramiho Girls' Middle SchoolPrimary Education19611964PRIMARY
Uwemba Primary SchoolPrimary Education19571960PRIMARY

Ndo maana anabaka mijadala bungeni elimu yake ndo hii mmmh
Vp CV ya mama KIlango
 
Nimeipitia CV ya huyu mama nimegundua changamoto zifuatazo.

1. Huyu mama inaelekea alikuwa kilaza hapo IDM, maana kwa mtaala wa chuo hicho Advanced Diploma ya Public Administration inachukuwa miaka mitatu. Hivyo kama alianza September 1971 basi angemaliza June 1974. Zaidi ya hapo alirudia mwaka (kufeli, ugonjwa n.k).
2. Inaonekana wakatia kisoma IDM (1971 - 1975) pia alikuwa ni board member wa IDM (1971 - 1976). Ama alikuwa na ushawishi maalum, maana ni baada tu ya kumaliza A Level, ama kachakachuwa CV yake.
3. Alifanya kazi kama AUDITOR (mkaguzi wa hesabu) wakati hakusomea fani hiyo Alipewa kazi bila kuzingatia maadili ya taaluma).
4. Hakuwahi kufanya kazi nyingine za kupata uzoefu wa uongozi zaidi ya kazi za kiuteuzi pekee.

Mtu kama huyu ambaye maisha yake yote yametegemea fadhila za rais pasipo kutumia ujuzi wake katika fani alizosomea, na ambaye kwa takribani miaka 40 tangu kuhitimu masomo yake hajafikiria hata kutafuta cheti cha kuongeza ujuzi kidogo tu alionao, je ataweza kuongoza bunge lenye mabadiliko ya wakati na kimtazamo? Sintomshangaa tena, background yake ni majibu tosha kwa upupu anaoufanya.
 
Yaani hapa cv yangu tu nikiweka hapa huyu mama haoni kitu kwangu na mimi nimemaliza mwakajana tu. Ndiyo maana anfanya hayo anayoyafanya hapo. Ila hata sis watz wajinga sana haiwezekani nchi ikawa inaongozwa na vilaza kama hawa na ndiyo maana nchi haiendi. Nafikiri kama tutafnikisha kupinga katibu iende kwa mchakato tunaopendekeza basi nafasi nyeti kama hizi wanaoshika anagalau awe na elimu ya degree ya sheria akiwa na masters basi iwe yeyote ile sheria isiwe ni kigezo.
 
Jamani naomba kuelimishwa maana haya masaburi ya magamba yanatia kichefuchefu.

Hivi mtu KUTEULIWA kuwa BOARD MEMBER wa shirika fulani, hiyo tayari inakuwa
employment opportunity? Kama tuna SPIKA ambaye hawezi kuandika hata CV
yake vizuri, kweli Spika wa aina hii anaweza kusimamia suala nyeti kama la
uandikaji wa katiba mpya?

No wonder Sitta(?)/Msekwa(?) alimshauri at least aende akasome ka-degree
ka sheria. Amejaribu kuijaza nyama CV yake finaly ameishia kuanika masaburi
yake nje. Talk about kuzika kichwa kwenye mchanga .... (Mbuni style).


Duh, kweli hiyo CV ya mama iko very poor. Sijui aliandikiwa au ni yeye mwenyewe?? Hiyo Administration course (Mzumbe) ndiyo nini tena?? Watu wa Mzumbe tusaidieni. Au ilikuwa siku zile?? Halafu Mwanamke anajiitaje Chairman badala ya Chairperson ambayo kila mtu siku hizi anatumia?? No wonder Sitta alimponda!!
 
SalutationHonourableMember picture
1268.jpg
First Name: Anne
Middle Name:Semamba
Last Name:Makinda
Member Type:Constituency Member
Constituent:Njombe Kusini
Political Party:CCM
Office Location:P.O. Box 6958,DAR ES SALAAM
Office Phone: +255 754 465226/+255 784 465226
Ext.:
Office Fax:
Office E-mail:
Member Status:
Date of Birth

EDUCATIONS
School Name/Location Course/Degree/Award Start DateEnd DateLevel
Institute of Development & Management - MorogoroAdministration Course19711975ADV DIPLOMA
Kilakala Girls' Secondary School(Marian College)A-Level Education19691970HIGH SCHOOL
Masasi Girls' Secondary SchoolO-Level Education19651968SECONDARY
Peramiho Girls' Middle SchoolPrimary Education19611964PRIMARY
Uwemba Primary SchoolPrimary Education19571960PRIMARY

CERTIFICATIONS
Certification Name or TypeCertification No. IssuedExpires

EMPLOYMENT HISTORY
Company Name Position From DateTo Date
-Regional Commissioner19952000
Ministry of Community Development, Women Affairs and ChildrenMinister19901995
State,Prime Minister's & First Vice President OfficeCoordination of Union Matters19831990
State,Prime Minister's & First Vice President OfficeIn charge of Central Government Coordination19831990
Tanzania GovernmentIn charge of Information and Broadcasting19831990
State,Prime Minister's & First Vice President OfficeMinister19831990
National Bank of CommerceBoard Member19781983
Surveyors Building Contractors ConsultantsBoard Member19781983
Tanzania Railways CorporationBoard Member19771983
Tanzania Legal CorporationBoard Member19771983
Mbeya Textile CompanyBoard Member19771983
National Textile CompanyBoard Member19761983
Tanzania Elimu SuppliesBoard Member19761983
The Public Accounts Committee of the ParliamentMember19751983
Tanzania Audit CorporationAuditor19751976
The Institute of Development Management-MzumbeBoard Member19711976

POLITICAL EXPERIENCE
Ministry/Political Party/LocationPositionFromTo
CCM-Chama Cha MapinduziMember of National Executive Council1977Todate
TANU/CCM-Chama Cha MapinduziTen Cells Leader19751983
TANUChairman -Youth League-IDM, Mzumbe19711975
TANUChairman -Youth League-Kilakala19691970
TANUChairman of Youth League19651968

PUBLICATIONS
DescriptionPublished Date

SPECIAL SKILLS
Skill Name or DescriptionYears ExperienceAcquired ThroughSkill Level

RECOGNITIONS
Recognition Type Recognition DateReasonAction TakenIssued by
Anna Makinda alikimbia kufanya mitihani ya bodi ya uhasibu NBAA na wala hawezi kuwa Auditor bila kusajiliwa na NBAA!!!
Kwa sasa ili afanye kazi kama Mwasibu anatakiwa aanze upya mitihani ya Bodi na NBAA ambpo hawezi kufaulu!!!
 
Hizo sehemu mbili nyekundu, there has to be a mistake - aliwezaje kuwa Board member wakati akiwa mwanafunzi katika chuo hichohicho?
pmwasyoke, vingozi wa wanafunzi ni wajumbe wa bodi za vyuo, kwa mujibu wa katiba nyingi za vyuo,
 
Labda alikuwa kiongozi wa serikali ya wanafunzi/wanachuo hivyo alikuwa board member representing wanachuo.
Chaguzi za chuo zinafanyika baada ya walau temu ya kwanza toka kufungua chuo. Ni aghalabu sana kwa mwanafunzi wa mwaka wa kwanza kuwa rais wa serikali ya wanafunzi. Tena kwa kukukumbusha tu baada ya kumaliza form six, alitakiwa kwa mujibu wa sheria kwenda JKT mwaka mmoja. So far angetoka jeshini june,1971. Hivi aliwezaje kuwa rais wa serikali ya wanafunzi IDM akiwa njuka?
 
Anna Makinda alikimbia kufanya mitihani ya bodi ya uhasibu NBAA na wala hawezi kuwa Auditor bila kusajiliwa na NBAA!!!
Kwa sasa ili afanye kazi kama Mwasibu anatakiwa aanze upya mitihani ya Bodi na NBAA ambpo hawezi kufaulu!!!
miaka hiyo ya 75/76, kuwa auditor kulihitaji tuu mtu kuwa na Naboce
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom