Bladerunner
Member
- Dec 19, 2008
- 93
- 3
Hivi karibuni nilipatwa na mkasa wa kupotelewa na kilongalonga changu!!kutokana na kwamba ilikua ni usiku nikashindwa kufanya sim replacement!!nikapiga simu customer care ili waiblock sim card mpaka asubuhi nitakapofanya replacement(for security purposes!!)maswali niliyouliza na majibu niliyopewa sikuridhika nayo kabisa!!baadhi yake ni
1:je kuna uwezekano wa kudivert all calls ya sim card iliyopotea kwenda kwenye namba yangu nyengine??
Maelezo aliyonipa ni jinsi ya kudivert active sim card ambayo nilikua naitumia kupiga kwa wakati huo!!
2:then nilipochoka na mzunguko wa majibu yake nikamwomba aiblock simcard!!
ninavyojua mimi ni kwamba alitakiwa aniulize maswali ya ku confirm kama kweli mimi ni owner of the lost sim card!!instead hakuuliza hata namba ya sim card iliyo potea!!na simu akakata!!!nikachoka mimi!!
Sasa wakuu hivi hiyo ni jeuri au hawako competitive enough!!au labda ilikua ni siku ya gundu kwangu??
Nitashukuru sana kama mtanisaidia nipate majibu ya hayo maswali na kama kuna wenzangu ambao yamewatokea kama haya sio voda tu hata mitandao mingine,tushauriane ili tujue jinsi ya kuwaepuka watu wa namna hii!!kwani tatizo langu leo kesho kwa mwenzako!!
1:je kuna uwezekano wa kudivert all calls ya sim card iliyopotea kwenda kwenye namba yangu nyengine??
Maelezo aliyonipa ni jinsi ya kudivert active sim card ambayo nilikua naitumia kupiga kwa wakati huo!!
2:then nilipochoka na mzunguko wa majibu yake nikamwomba aiblock simcard!!
ninavyojua mimi ni kwamba alitakiwa aniulize maswali ya ku confirm kama kweli mimi ni owner of the lost sim card!!instead hakuuliza hata namba ya sim card iliyo potea!!na simu akakata!!!nikachoka mimi!!
Sasa wakuu hivi hiyo ni jeuri au hawako competitive enough!!au labda ilikua ni siku ya gundu kwangu??
Nitashukuru sana kama mtanisaidia nipate majibu ya hayo maswali na kama kuna wenzangu ambao yamewatokea kama haya sio voda tu hata mitandao mingine,tushauriane ili tujue jinsi ya kuwaepuka watu wa namna hii!!kwani tatizo langu leo kesho kwa mwenzako!!