Pretty-baby
Member
- Jan 25, 2012
- 56
- 7
Habarini nilikuwa naomba mnijuze kama custom walishaitwa ,post za dec mwishon!
Habarini nilikuwa naomba mnijuze kama custom walishaitwa ,post za dec mwishon!
Hukuweka anwani yako? Kama uliweka subiri utajuzwa tu bado tunachambua majina wenye sifa
jamani mwenye data za ukweli atuambie sio za kubabaisha!
ondoa shaka pretty baby, shortlists ndo tunanziandaa tutaanza kuwaita kuanzia mwezi wa tatu.
Hii kitu bado bana ila kama una GPA ya 3.7 and above subiri simu japo mko 2000 coz wenye Upper ni zaidi ya 4500
khaaaa hasira za nini?Acha kuzingua watu wewe! GPA 3.7 kwani wameomba kufundisha university? Kaongeze post zako kwenye chit-chat.
khaaaa hasira za nini?