Mponjoli
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 668
- 152
Habari wadau
Hivi karibuni nimejionea hapa Dar es salaam watu wanaweka plate namba kwenye magari zina majina yao. Mfano kuna magari yamewekwa jina RICH na majina mengineyo.
Hivi hii inaruhusiwa Tanzania?
Najua Uganda hii kitu inaruhusiwa, Kenya imeruhusiwa ila bado sheria haijaanza kutumika na juzi tu gari ya McDonald Marica wa Parma Italy imekamwatwa Nairobi.
Asanteni
Hivi karibuni nimejionea hapa Dar es salaam watu wanaweka plate namba kwenye magari zina majina yao. Mfano kuna magari yamewekwa jina RICH na majina mengineyo.
Hivi hii inaruhusiwa Tanzania?
Najua Uganda hii kitu inaruhusiwa, Kenya imeruhusiwa ila bado sheria haijaanza kutumika na juzi tu gari ya McDonald Marica wa Parma Italy imekamwatwa Nairobi.
Asanteni