Wilbert1974
JF-Expert Member
- Feb 10, 2011
- 1,632
- 478
Hivi hili neno linaeleweka kweli kwenye baadhi ya TOVUTI za wizara kwenye hii serkali yetu?
Nimejaribu kufuatilia kwa muda mrefu kwenye hii sehemu walipoweka eti ni CURRENT NEWS unakuta vitu vivyowekwa hapo ni vya zaidi ya miezi sita nyuma!:A S 13:
Nimejaribu kufuatilia kwa muda mrefu kwenye hii sehemu walipoweka eti ni CURRENT NEWS unakuta vitu vivyowekwa hapo ni vya zaidi ya miezi sita nyuma!:A S 13: