Current news:walimu wapya mwaka huu hakuna pesa ya mizigo na wategemezi.

Polite

JF-Expert Member
Apr 12, 2011
1,095
816
Kuna pesa ya nauli tu.source=kikao kati ya walimu wapya na mkuu wa wilaya,kaimu mkurugenzi na afisa elimu mwanza jiji
 
Mabadiliko yapo lakini cyo kuondoa kabisa! Nimpaka mzigo uonekane halafu uczidi 1.5 tones kwa new appointees. Ukizidi, unapewa gari na halmashauri! Swali langu ni je iwapo wote mizigo imezidi watapewa magari hata kama kwao ni mbali sana? Ah mi cjui bana. Fomula ni (1.5 tones *1000*number of kms) ACHENI UJINGA WALIMU. FIGHT PLZ! OOHOO!
 
Back
Top Bottom