Binti Sayuni
JF-Expert Member
- Feb 25, 2009
- 367
- 52
Haya unayoyasema wewe, alishauriwa hivyo tangu miaka 30 iliyopita tena wakamwambia aache sigara ingemuua ndani ya miaka mitano tu. Mpaka sasa anadunda na fegi anapiga mtindo mmoja. Na mwaka huu anagombea urais. Kura yangu anayo.
Duh! mwaka huu anagombea uraisi hii ni mpya mkuu,misukosuko na mizunguko ya kampeni je ataihimili lakini?