Mgongo wa paka
JF-Expert Member
- Oct 3, 2011
- 485
- 36
CUF wanajua hata wakishiriki hawatashinda ubunge Arumeru mashariki... Kimsingi hiki chama kinaelekea kufa; hakikubaliki kwa wananchi..... wanachama wa CUF wenye nia ya dhati ya kuleta mabadiliko nchini kwa kukiondosha madarakani chama cha magamba wajiondoe CUF haraka... Jiungeni na chama cha upinzani kinachokubalika zaidi kwa wananchi.
chama gani cha upinzani kinacho kubalika nchi nzima acha uzuzu. Bahati mbaya mnaongea pumba na kulopoka.sidhani hata kilwa chama hicho kipo hata msimu uliopita hakikusimamisha mgombea