CUF yatabiriwa makubwa kutokana na hazina zake 2 na CCM yafanya mambo kwa MIPANGO

Hii topic yako imekaa ki-Malaria Sugu, Malaria Suguuuu...!

Ninachosikitika ni wewe kuchezea school fees kwenye hiyo shule ya kata halafu unatoka huna kitu kichwani. Huyo Prof Li-Pumba na theories zake anaboreshaje chama? Kwa kuvuta maneno na nyie kuitikia ndiooooo?

Chama cha fujo ni kipi, ni kile chenye matawi yenye majina ya kisharishari ya KOSOVO, TELEBAN, CHECHNIYA na FALUJA?

Kwenye hii riwaya yako umesema CUF imetabiriwa jambo fulani la kipuuzi lkn hujatuambia imetabiriwa na nani manake Sheikh wa Mwembe Chai ni al-marium ama mna mtabiri mwingine?
Tuliopita darasani tunamwita Charityboy ni Jahil Murakkab
 
Church Development Manifesto = Chadema..upo!

Bila kujua mnaijenga CDM!
kwa kauli kama hizo, sababu yule anayejiona ni mtu wa Yesu mnamuelekeza ajiunge na CDM! ukijumlisha na waislamu waelewa eeh! Basi tena moto mdundo CDM! hamuelewi ima mnatumiwa na 5th c! jitambue!
 
Dada huyo ameolewa!dada huyo ameolewa!maali kishatolewa!maali ametolewaaaa!cuf endeleeni ku.....wa na magamba.m4c 4 ever
 
Hatimaye pamoja na kuchukua viti vingi vya udiwani sehemu mbalimbali tanzania kwenye chaguzi ndogo, chama cha CUF kimetabiriwa makubwa hasa kutokana na hazina ya uongozi makini wa profesa wa uchumi (Lipumba) na kiongozi makini (Maalim Seif).

Kwa kuwa kimeshafanikiwa kuingia serikalini kwa upande mmoja, hali ya kisiasa inaonyesha muelekeo mzuri kwa upande wa bara kwani umakini wa wananchi juu ya chama hiki umeongezeka. CUF haikuona umuhimu wowote wa kusimamisha mgombea ARUMERU. Hali kadhalika, CCM kwa ridhaa yao wameamua kuliachia jimbo hilo kwani si muhimu tena kwao. Na muelekeo unaonyesha kuwa CCM itaendelea kuachia majimbi mengi kadiri yatakavyoendelea kupotena umuhimu.

Watanzania tuweni MAKINI na vyama fujo.

mtaalamu wa siasa za tanzania nilierejea masomoni baada ya miaka 2. Ktk kipindi chote cha masomo niliona nisimame kwanza kutumia JF ili nisome vizuri kwa maslahi ya nchi yangu.

Kama utaalam ulioupata baada ya masomo ndio unaofanya utafiti wa aina hii, ni aibu ambayo haijawahi kutokea.
cuf imekwisha kufa, inafuatiwa na ccm, hilo halina mjadala tena.
 
Hatimaye pamoja na kuchukua viti vingi vya udiwani sehemu mbalimbali tanzania kwenye chaguzi ndogo, chama cha CUF kimetabiriwa makubwa hasa kutokana na hazina ya uongozi makini wa profesa wa uchumi (Lipumba) na kiongozi makini (Maalim Seif).

Kwa kuwa kimeshafanikiwa kuingia serikalini kwa upande mmoja, hali ya kisiasa inaonyesha muelekeo mzuri kwa upande wa bara kwani umakini wa wananchi juu ya chama hiki umeongezeka. CUF haikuona umuhimu wowote wa kusimamisha mgombea ARUMERU. Hali kadhalika, CCM kwa ridhaa yao wameamua kuliachia jimbo hilo kwani si muhimu tena kwao. Na muelekeo unaonyesha kuwa CCM itaendelea kuachia majimbi mengi kadiri yatakavyoendelea kupotena umuhimu.

Watanzania tuweni MAKINI na vyama fujo.

mtaalamu wa siasa za tanzania nilierejea masomoni baada ya miaka 2. Ktk kipindi chote cha masomo niliona nisimame kwanza kutumia JF ili nisome vizuri kwa maslahi ya nchi yangu.

Ulirudi kutafuta crediti za kuendea fom faivu! Hata hivyo zimeshindikana ndio umeamua uachane nayo urudi tena kwenye siasa!! Siasa ya Tanzania ilishaondoka huko kitambo!
Kajipange upya!
 
church development manifesto= CHUDEMA haiweza kuwa chadema huyo aliyesema hivyo kaumbuka
 
Back
Top Bottom