CUF yasisitiza zanzibar kuwa na muungano wa mkataba

Kakke

JF-Expert Member
Dec 4, 2010
1,883
1,482
Abubakar-Khamis-Bakar.jpg

Mh Waziri wa sheria Zanzibar AbuuBakar Khamis Bakari

Na Masoud ali….
Mjumbe wa baraza kuu la CUF taifa ambae pia ni Waziri wa katiba na sheria ndugu Abuubakar Khamis Bakar amewasihi wananchi wa jimbo la Bububu kujitokeza kwa wingi kumchagua mgombea wa CUF ili kuongeza nguvu katika baraza la uwakilishi katika kulinda chama, jimbo pamoja na nchi. ili kuweza kuendeleza yale aliyaahidi.

Akizungumza katika mkutano wa kampeni uliofanyika Bububu katika uwanja wa magengeni alipokua akiwahutubia wananchi pamoja na wapenzi wa chama hicho amesema kwa sasa Zanzibar haina uwezo wa kutoka kwenda nje ya nchi kutaka misaada bila ya kupitia Tanzania bara, ili kuondoa tatizo hilo na kuipatia Zanzibar mamlaka yake kamili ni lazima kuongezeka idadi ya wawakilishi wa CUF kupitia ISSA KHAMIS ISSA na kuepuka sera za CCM za kuwa na serikali mbili kuelekea serikali moja.

Amesema wakati umefika Zanzibar kuwa na Serikali yake, na Tanganyika kuwa na Serikali yake ili kupata muungano wa mkataba ili kukua kimaendeleo. hivyo amewasisitiza wananchi kujitokeza kwa wingi na kuwa na kauli moja katika utowaji wa maoni kuhusu katiba mpya.
Nae mgombea uwakilishi jimbo la Bububu amewataka wananchi wa jimbo hilo kumpa ridhaa yao ili kupata Bububu mpya yenye maendeleo.
Ndugu ISSA KHAMIS ISSA amesema iwapo atachaguliwa na wananchi wa jimbo hilo ataimarisha sekta za maendeleo ikiwemo afya na michezo kwa vijana wa eneo hilo na kuhakikisha wanakuwa na timu yao itakayoshiriki ligi kuu zanzibar.
 
Na sisi hatuutaki Muungano wa mkataba utakaoleta nchi mbili au tatu. Ni aidha nchi moja au Zanzibar waende zao!
 
Huwa siwaelewi Wazanzibari,wakiwa kwao wanataka muungano wa mkataba,wakivuka bahari wakaenda bungeni Dodoma wanataka muungano na kuwakejeri wanaoupinga!
 
Huwa siwaelewi Wazanzibari,wakiwa kwao wanataka muungano wa mkataba,wakivuka bahari wakaenda bungeni Dodoma wanataka muungano na kuwakejeri wanaoupinga!

Mkuu hao wanakuja dodoma na kuwapinga wenzao wa znz ni vibaraka na mamluki wa Tanganyika!!
Unajua nyinyi mlijifanya wajanja mkaeka ktk sheria ya mabadiliko ya katiba kuwa muungano usijadiliwe kwa kuuvunja bali kwa kuuboresha mkadhani mshatupata!ss na ss tunataka mkataba hamuwezi vinja muungano na ndio lengo letu hatutaki muungano.
 
Abubakar-Khamis-Bakar.jpg

Mh Waziri wa sheria Zanzibar AbuuBakar Khamis Bakari

Na Masoud ali….
Mjumbe wa baraza kuu la CUF taifa ambae pia ni Waziri wa katiba na sheria ndugu Abuubakar Khamis Bakar amewasihi wananchi wa jimbo la Bububu kujitokeza kwa wingi kumchagua mgombea wa CUF ili kuongeza nguvu katika baraza la uwakilishi katika kulinda chama, jimbo pamoja na nchi. ili kuweza kuendeleza yale aliyaahidi.

Akizungumza katika mkutano wa kampeni uliofanyika Bububu katika uwanja wa magengeni alipokua akiwahutubia wananchi pamoja na wapenzi wa chama hicho amesema kwa sasa Zanzibar haina uwezo wa kutoka kwenda nje ya nchi kutaka misaada bila ya kupitia Tanzania bara, ili kuondoa tatizo hilo na kuipatia Zanzibar mamlaka yake kamili ni lazima kuongezeka idadi ya wawakilishi wa CUF kupitia ISSA KHAMIS ISSA na kuepuka sera za CCM za kuwa na serikali mbili kuelekea serikali moja.

Amesema wakati umefika Zanzibar kuwa na Serikali yake, na Tanganyika kuwa na Serikali yake ili kupata muungano wa mkataba ili kukua kimaendeleo. hivyo amewasisitiza wananchi kujitokeza kwa wingi na kuwa na kauli moja katika utowaji wa maoni kuhusu katiba mpya.
Nae mgombea uwakilishi jimbo la Bububu amewataka wananchi wa jimbo hilo kumpa ridhaa yao ili kupata Bububu mpya yenye maendeleo.
Ndugu ISSA KHAMIS ISSA amesema iwapo atachaguliwa na wananchi wa jimbo hilo ataimarisha sekta za maendeleo ikiwemo afya na michezo kwa vijana wa eneo hilo na kuhakikisha wanakuwa na timu yao itakayoshiriki ligi kuu zanzibar.
Hicho ndicho wanachowaza CUF kila uchao, ni kuvunja Muungano, nilikuwa huko last week, ukipita Mtendeni makao makuu ya CUF kuna stika za kuhamasisha uzanzibari na kupuuza Utanzania, Watanganyika tuwe macho, haya mambo ya miamsho mara kususia sensa hii yote ni Zanzibar, na nashindwa kuelewa Lipumba ni Mwenyekiti wa CUF Taifa au Bara?? Je? anaridhika na hali inavyoendelea kule? na kwa nini kama anaridhika asiende kule kuiunga CUF kupata nchi yao?
 
..we already know that.

..sasa mambo gani wanataka yawe ktk "mkataba" ??
 
..we already know that.

..sasa mambo gani wanataka yawe ktk "mkataba" ??

Nasubiri kwa hamu Prof Lipumba atoe kauli kuhusu Zanzibar na muungano. Hadi sasa hawasemi ni kitu gani wanataka kwenye mkataba, pengine Prof anaweza kufafanua!
 
Mkataba wenye faida gani kwa Watanzania wa bara zaidi ya kufanyia vitu Zanzibar na nafasi za uongozi!!. Kama wanapenda uongozi wajiongoze wenyewe na tutaona Watanzania wa Zanzibar wengi wanahamia bara.
 
Mkuu hao wanakuja dodoma na kuwapinga wenzao wa znz ni vibaraka na mamluki wa Tanganyika!!
Unajua nyinyi mlijifanya wajanja mkaeka ktk sheria ya mabadiliko ya katiba kuwa muungano usijadiliwe kwa kuuvunja bali kwa kuuboresha mkadhani mshatupata!ss na ss tunataka mkataba hamuwezi vinja muungano na ndio lengo letu hatutaki muungano.

Hakuna watu washenzi kama wazanzibar ni watu wa hajabu sana
Wazanzibar ni kama mademu, Demu yuko nyumbani kwako alafu analeta nyodo , atasema hakutaki lakini ukimwambia ondoka zako bado atagangania na kujishebedua , sitaki sitaki huku anafua nguo na kukupikia msosi na vitu anakupa unagonga. Nilishawaambia wazanzibar kwani mkataba wa nini si muondoke mwende kwenu muone kama kuna mtu atawafuata huko kisiwani ! Wote wamejazana Bara kama kumbikumbi , utakwenda mpaka Karagwe utawakuta . lakini bado wanataka mkataba. Mkataba wa nini ondoka zenu tuachie Bongo yetu hawataki, ovyoooooooooo !!!!!
 
Mkuu hao wanakuja dodoma na kuwapinga wenzao wa znz ni vibaraka na mamluki wa Tanganyika!!
Unajua nyinyi mlijifanya wajanja mkaeka ktk sheria ya mabadiliko ya katiba kuwa muungano usijadiliwe kwa kuuvunja bali kwa kuuboresha mkadhani mshatupata!ss na ss tunataka mkataba hamuwezi vinja muungano na ndio lengo letu hatutaki muungano.

hata sisi hatuwataki na hatuwapendi. Ila mshaanza mara mkataba, mara muungano uboreshwe. Nyie vipi?
 
Nasubiri kwa hamu Prof Lipumba atoe kauli kuhusu Zanzibar na muungano. Hadi sasa hawasemi ni kitu gani wanataka kwenye mkataba, pengine Prof anaweza kufafanua!

hakuna cha prof wala Mtatiro wala Maalim Seif. Watoke zao
 
Hakuna watu washenzi kama wazanzibar ni watu wa hajabu sana
Wazanzibar ni kama mademu, Demu yuko nyumbani kwako alafu analeta nyodo , atasema hakutaki lakini ukimwambia ondoka zako bado atagangania na kujishebedua , sitaki sitaki huku anafua nguo na kukupikia msosi na vitu anakupa unagonga. Nilishawaambia wazanzibar kwani mkataba wa nini si muondoke mwende kwenu muone kama kuna mtu atawafuata huko kisiwani ! Wote wamejazana Bara kama kumbikumbi , utakwenda mpaka Karagwe utawakuta . lakini bado wanataka mkataba. Mkataba wa nini ondoka zenu tuachie Bongo yetu hawataki, ovyoooooooooo !!!!!

sijui wamelogwa!? Wanatung'ang'ania tu
 
Hii mada mie inanikera na kunichosha. Hivi Tanganyika inafaidi nini kutoka Zanzibar? Wanzanzibari wakija bara wanakuwa huru mno lakini walivyo kwao aah! Waachwe
 
na huo muungano na uvunjwe hatuwezi kuhishi kwa kutishiana kila siku. as if mahisha yetu ya meshikiliwa na zanzibar.
 
Hakuna watu washenzi kama wazanzibar ni watu wa hajabu sana
Wazanzibar ni kama mademu, Demu yuko nyumbani kwako alafu analeta nyodo , atasema hakutaki lakini ukimwambia ondoka zako bado atagangania na kujishebedua , sitaki sitaki huku anafua nguo na kukupikia msosi na vitu anakupa unagonga. Nilishawaambia wazanzibar kwani mkataba wa nini si muondoke mwende kwenu muone kama kuna mtu atawafuata huko kisiwani ! Wote wamejazana Bara kama kumbikumbi , utakwenda mpaka Karagwe utawakuta . lakini bado wanataka
mkataba. Mkataba wa nini ondoka zenu tuachie Bongo yetu hawataki, ovyoooooooooo !!!!!
Kwani ni nani anang'ang'ania Muungano!?ss tumesema na tunaendelea kusema wazi wazi hatutaki Muungano.nyinyi ndio mkaleta sheria eti oooh tuujadili kwa kuboresha si kuvunja tukawaambia sawa.ss sisi tumetafuta njia nyengine ambayo tutauvunja muungano badil ndio tukaja na Muungano wa mkataba ili tuutumie km daraja la kuuvunja moja kwa moja!!
Hakuna ujanja tena mtaimbo umeganga!!!hata mkamfufua baba yenu wa taifa hamtaweza kuzuia wanachitaka wazanzibar!
 
Hii mada mie inanikera na kunichosha. Hivi Tanganyika inafaidi nini kutoka Zanzibar? Wanzanzibari wakija bara wanakuwa huru mno lakini walivyo kwao aah! Waachwe
SHIDA ILIYOPO LICHA ya wasomi walioko tanganyika bado kuna wimbi kubwa la wajinga na maskini jambo lina sababisha hata kuona kwa macho au hata kuskuliza khabar hawajui owongo huona ukwli na ukwli huona uwongo anajua dhulma inayofanyika znz ni baadhi ya wasomi wasiomrithi nyerere ilawengi wenu bado mna usingizi kwa kuwekewa na kupotoshwa na sauti ya mzoga ambao bado unawaongoza
 
Back
Top Bottom