CUF walikuwa wanakataa kuwa wao siyo sehemu ya serikali lakini sasa wanatembea kila kona kuishindikiza serikali ya Jakaya Kikwete kuwasweka jela viongozi wa CHADEMA.
Rashid Hamad aelezea masaibu yake ya kufungwa jela miaka mitatu kwa kutomtambua Dr. Salmin Amour mwaka 1997.
Rashid Hamad aelezea masaibu yake ya kufungwa jela miaka mitatu kwa kutomtambua Dr. Salmin Amour mwaka 1997.
- 1997 Salmin aliwaweka 18 wa CUF jela!
- Vipi Jakaya Kikwete hawafungi jela wabunge wa CHADEMA!
- CHADEMA ni kama dikteta Iddi Amin DADA!
Last edited by a moderator: