Cuf wenzangu nisaidieni

kausha

Member
Aug 21, 2007
73
4
Kampeni za CUF Igunga zilizinduliwa na Maalimu Seifu sikuwepo huko lakini akiwa Dar huwa anapita na vingora na barabara kufungwa vipi alipokuwa akipita kwenye barabara za igunga na je kwa stahili hizo amabazo ni haki yake wananchi wanaotaka mabadiliko ya nchi waliweza kutofautisha kati ya mkapa na seifu na je alipopanda jukwaani kwa vyovyote akilindwa na makumi ya wanausalama wa taifa na polisi alipata ujasiri wa kuikemea serikali ya chama cha mapinduzi kama aliweza watu watapima vipi ukweli wa maneno yake nimeisha shuhudia Siku ya kwanza tulipompokea makao makuu ya CUF buguruni baada ya Muafaka na kwenye mkutano wa Hadhara Temeke Mwisho Sefu sio yule huyu ni serikali anayotaka kuiondoa madarakani sijui kama yuko tayari kujiondoa mwenyewe. inawezekana Muafaka una Manufaa Zanzibar Bara ni kabuli la CUF inawezekana Ngunguli Kamshinda Ngangari Cuf yetu Sio ile mafuso yetu yote yameondoka na Muafaka.
 
wapemba wameteka na kuua chama cha CUF na cha kusikitisha mwenyekiti Prof Lipumba hana kauli yeyote anaburuzwa na katibu maalim seif, hivi CUF bara mmerogwa mbona mnaburuzwa kama mabwege na wavisiwani

 
Kampeni za CUF Igunga zilizinduliwa na Maalimu Seifu sikuwepo huko lakini akiwa Dar huwa anapita na vingora na barabara kufungwa vipi alipokuwa akipita kwenye barabara za igunga na je kwa stahili hizo amabazo ni haki yake wananchi wanaotaka mabadiliko ya nchi waliweza kutofautisha kati ya mkapa na seifu na je alipopanda jukwaani kwa vyovyote akilindwa na makumi ya wanausalama wa taifa na polisi alipata ujasiri wa kuikemea serikali ya chama cha mapinduzi kama aliweza watu watapima vipi ukweli wa maneno yake nimeisha shuhudia Siku ya kwanza tulipompokea makao makuu ya CUF buguruni baada ya Muafaka na kwenye mkutano wa Hadhara Temeke Mwisho Sefu sio yule huyu ni serikali anayotaka kuiondoa madarakani sijui kama yuko tayari kujiondoa mwenyewe. inawezekana Muafaka una Manufaa Zanzibar Bara ni kabuli la CUF inawezekana Ngunguli Kamshinda Ngangari Cuf yetu Sio ile mafuso yetu yote yameondoka na Muafaka.

Shauri yenu na CHOPA yenu mliyopewa na ROSTAM+CCM
 
mtumbwi ni chombo muhimu huko zenji ila ni gogo la kuachwa shambani litafunwe na mchwa bara
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom