X-PASTER
JF-Expert Member
- Feb 12, 2007
- 11,610
- 1,810
Naona jibu langu ukulipenda sio, nimekwambia kuwa siku ya sabato inategemea na imani yako. Kuna wanao adhimisha siku ya Jumamosi na wale wa Jumapili na vile vile inategemea na sabatho unavyo itafsiri... yaweza kuwa siku yoyote ya mapumziko katika karenda ya mwaka.Inaonekana kuwa hili swali hutalijibu kwa leo. Ningekushauri urudi shule ukasome mazee.