labda CUF wako okay na ufisadi wa ccm, who knows?
Sio wako ok na ufisadi, ni kuwa wameufaidi huo ufisadi wa ccm, kwani nasikia mmoja wa wafadhili wao wakubwa ni RA
labda CUF wako okay na ufisadi wa ccm, who knows?
Fikra mgando badala ya kufikiria kujenga hoja wewe unawazia kubomoa mtandao mtakaliaga hayo hayo milele.
ccm na cuf ni vyama vya kidini --- ile dini na naniliiii ... nani yule? yule naniliiii
Prof ameomba hilo waweke mdahalo wa kujadiliana kuhusu sera na kujenga hoja za kuinua maisha ya mtanzania.Ameongelea sera zao kwa ufupi jinsi yakubadilisha maisha ya mtanzania maskini.
Ila siasa mara nyingi ni kupondana tu mwenzako kasema nn the ww unakuja kuponda ..Duni haji na Prof wamejieleza vyema na kwa ufupi....
kwani Chadema ni chama cha kidini au cha kikabila?
Una maana yule marehemu naniiiii !
Chadema ni chama cha kisiasa lakini kimekaa kama cha kikabila vile.
Chadema ni chama cha kisiasa lakini kimekaa kama cha kikabila vile.
Sio wako ok na ufisadi, ni kuwa wameufaidi huo ufisadi wa ccm, kwani nasikia mmoja wa wafadhili wao wakubwa ni RA
wewe unaonaje?
wameona itakuwa kama repetition mana kesho chadema ndo itakuwa wimbo wao mwanzo -mwisho....kwangu mie sabato ni Jumapili
Kuna mtu kaanguka jukwaani au Lipumba hakufunga.Uzinduzi umekwenda vyema sana..police wametoa ushirikiano na kulikuwa hakuna matatizo...tusubirie ngoma ya Chadema..najua watakuwa wamejipanga vyakutosha kuzungumzia mafisadi..ila leo CUF wasemaji wake wote hawajagusia ufisadi kivile zaidi ya kusema ukiwa masikini ni rahisi kutawalika ,..ni vigumu sana kumwongoza na kumtawala mtu mwenye fedha
Mtazamo wangu mie Rev ana tatizo na kuzinduliwa kampeni Ijumaa labda atujuze tatizo nini? Na mbona Chadema wanazindua Jumamosi tuwaite wasabato? CUF na Chadema wakigonga na hizi hoja za udini CCM anashinda kwa ubua
Prof naye bana,
Hivi amesema chochote kuhusu ule mchongo wa ccm waliompatia hivi karibuni?
Haya bado ni maoni yako mkuu maana Rev hakusema hivyo.
CCM ni wa ile dini ya naniliiii ile ya naniiliiiii yule ambaye si msabato ... si unamjua yule naniliiii yule
Dili gani hilo Mwafrika hebu tupakulie basi
Kama hakuwa na dhamira hiyo kwani asiulize mengine aulize siku ya ijumaa na kampeni? Inasaidia nini kuuliza hilo kwa watanzania ambao kila siku rasilimali zao zaliwa?
Asante sana ni wachache wanaokaribisha wageni katika jamvi hili.ndagafijo
--------------------------------------------------------------------------------
Join Date Fri Aug 2010
Posts 1
Thanks : 0Thanked 0 Times in 0 PostsRep Power 0
Karibu kwenye Jamvi