Naona wengine watakuwa kidongo chekundu ila ki mwelekeo JF imekaa kichadema chadema tu ngoja kesho wakizindua utaona thread zitakavyogonganaMbona watu hawashuki hapa kutoa comment? Naona Senator unahabarisha lakini hakuna response ya wanajamvi wengine. Duh!
Hah hah ha ! mkuu umenichekesha sana, asante kwa kukamilisha siku yangu!Naona wengine watakuwa kidongo chekundu ila ki mwelekeo JF imekaa kichadema chadema tu ngoja kesho wakizindua utaona thread zitakavyogongana
Naona wengine watakuwa kidongo chekundu ila ki mwelekeo JF imekaa kichadema chadema tu ngoja kesho wakizindua utaona thread zitakavyogongana
Ijumaa ndo jumapili kwa wanaCUF
Duni haji anasema ahadi anazoweka JK ni kama za Abunuwasi mana ni kama ndoto za mchana..mana zinategeme wamarekani watoe msaada.Ameorodhesha ahadi zote za JK alizotoa 2005 ..watapita kila mkoa kuuliza kama zimetekelezwa!!
Kwani wana tofauti gani na Chadema...!?Kwani CUF ni chama cha Kidini ama Kisiasa?