..hao wamegoma tu kumuelewa Tundu Lissu.
..Lissu anatetea jambo lilelile ambalo CUF wamekuwa wakipigia kelele miaka mingi, nalo ni kurudishwa kwa serikali ya Tanganyika.
..nafasi ya Tanganyika lazima itambuliwe kwanza kabla ya kuanza kuijadili ktk ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
..kwenye mjadala mzima wa katiba sera za CDM zinakaribiana sana na sera za CUF, sijui kwanini viongozi kama Duni na Hamad Rashid wanashindwa kuliona hilo.
duh mimi napita zangu jamani, ntarudi badaeaaaaahhhhh, kwani nini mnaitajataja zanzibar humu, sisi ni tanganyika bwanaaaa
kuna swala la uhalali wa chadema kwani kuna uwezekanoi mkubwa sana kuwa zanzibar hawana wanachama au kwa hili la tundu likawapelekea katika hao wanachama wasiozidi 20 na wao kukisusa chadema. Hapo sasa, sijui tendwa ataamuwa vipi?
zanzibar ni nchi itakayo fuata misingi ya kiislam na rais ni lazima awe muislam, mpo hapo makaf...ri.
cuf ni chama cha nnchi ya jiran..yaani majirani zetu nchi ya zanzibar
R I P CUF. Hilo ndiyo kosa la hawa nyumba ndogo ya magamba badala ya kujenga chama lao wao kutwa kucha kuisakama Chadema, bure kabisa.
ndipo zitakapoaanza mbio rasmi za kuirudisha tanganyika-haitawezekana chadema ife eti kwa kukusa wanachama zenji-never...tanganyika itarud hapo kwa spidi zoteKuna swala la uhalali wa chadema kwani kuna uwezekanoi mkubwa sana kuwa Zanzibar hawana wanachama au kwa hili la Tundu likawapelekea katika hao wanachama wasiozidi 20 na wao kukisusa chadema. Hapo sasa, sijui Tendwa ataamuwa vipi?
Tatizo la huu muswada wa katiba ni kwamba viongozi wengi wa CUF na CCM hawajui kwa nini wananchi tunahitaji katiba mpya. Huyu Juma Haji Duni na viogozi wengi wa Zanzibar siku zote huzungumzia maswala ya uongozi, uuwiano ktk viti vya uongozi lakini wanasahau wananchi wao na nafasi zao ktk muungano..Na kutoweza kujua kwa nini tunahitaji katiba mpya ndio maana katoa majibu kama haya..Waziri wa Afya wa Zanzibar-CUF bwana Juma Duni Haji ametetea vikali mswada wa katiba mpya uliopitishwa na bunge na kusema hata mwalimu Nyerere wakati wa uandaaji katiba ya mwaka 1977 aliteua wajumbe nusu kwa nusu kati ya Tanganyika na Zanzibar.Waziri huyo ameilaani Chadema na kumfananisha Tundu Lissu na mtu asiye na akili. Bwana Juma Duni Haji ameyasema hayo katika kipindi maalum cha dakika 45 ambacho kimerekodiwa na kitarushwa siku ya Jumatatu.
Duni analinda mkate wake wa kila siku but nina tamani kuona kuna jimbo liko wazi Pemba au Unguja then uchaguzi uitishwe nisiki hoja zao au wataamua kupeana tu ? Hakika CUF imeisha na huku bara ndiyo wasahau kabisa kupata kura hata moja .
Kumbe upo!!!! Nilifikiri paycheck zimekata baada baada ya EL kuibuka kidedea kule NEC. Ni nini mipango yenu mipya unahamia kambi ya EL au au bado unakula za Nepi?Kuna swala la uhalali wa chadema kwani kuna uwezekanoi mkubwa sana kuwa Zanzibar hawana wanachama au kwa hili la Tundu likawapelekea katika hao wanachama wasiozidi 20 na wao kukisusa chadema. Hapo sasa, sijui Tendwa ataamuwa vipi?
Nimemsikia Duni Haji kwenye highlights za hicho kipindi.
Swali moja kwa Duni: Kwanza sitaki kuamini kuwa Duni tunayemjua amekuwa mvivu wa kufikiri kiasi hiki.
Namalizia kwa kumuuliza Duni: Hivi wakati wanatunga katiba yao Zanzibar, kuna Mtanganyika aliulizwa kutoa maoni. Si walimalizana wao kwa wao na kujitangaza kuwa Zanzibar ni NCHI. Sasa ya kwetu anayatakia nini??