MwanaCBE
JF-Expert Member
- Sep 23, 2009
- 1,771
- 804
Ndo chama gani hicho......!!!Chatema wamekwisha...
Ndo chama gani hicho......!!!Chatema wamekwisha...
wewe hatutakuelewa kama utaendelea kutumia magoti pia masabuli yako badala ya kichwa kuleta ujumbe wako kwa great thinkers, hang upchatema wamekwisha...wamezikurupukia thiatha dha tanzania thatha zinawatokea puani...tena wanaenda ikulu kujimalidha dhaidi, waulidheni nccr ilikuwa na vichwa zaidi hivi vya chadema wa leo, miaka ya 90 leo wako wapi, walikuw wakiongozwa na kilaza mrema kama kilaza mbowe, poleni vijana wenzangu mlioko chadema...njooni chama dume ingawa kuna changamoto za hapa na pale.....
ualali wa chadema?? Unamaanisha chadema si halali zanzibar?? Au chadema haina hao wanachama uko zanzibar?? Wadhani wazanzibar hawakumuelewa lisu, aaaaah bana mie niko uku zanzibar na ni mwanachama mtiifu wa chadema, acha izo, endelea jitihada zako za haramu za kukumbatia pia kuchagua magamba uku ujichumia dhambikuna swala la uhalali wa chadema kwani kuna uwezekanoi mkubwa sana kuwa zanzibar hawana wanachama au kwa hili la tundu likawapelekea katika hao wanachama wasiozidi 20 na wao kukisusa chadema. Hapo sasa, sijui tendwa ataamuwa vipi?
Zanzibar kuna wanachama wengi sana wa CDM na wanazidi kuongezeka kwa kasi ya ajabu hasa baada ya CUF kuungana na CCM na kupoteza matumaini ya wananchi wengi wa ZANZIBAR, niliwahi kufanya utafiti kuhusu hili na nitapublish matokeo soon, ila wewe usipende kuropoka bila utafiti maana bila utafiti hakuna data na bila data hakuna uhalali wa kuongeaKuna swala la uhalali wa chadema kwani kuna uwezekanoi mkubwa sana kuwa Zanzibar hawana wanachama au kwa hili la Tundu likawapelekea katika hao wanachama wasiozidi 20 na wao kukisusa chadema. Hapo sasa, sijui Tendwa ataamuwa vipi?
ccm bana wana akili sana hasa dhidi ya hawa watu pia vyama njaa kali kama uyu duni haji na CUF yake, kuna siku wataomba dunia ipasuke waingie na CUF yao watakapo baini chadema kakamata nchi, ivi uchaguzi wa igunga haukuwafungua macho CUF kuwa na wao huku bara hawana chao??Waziri wa Afya wa Zanzibar-CUF bwana Juma Duni Haji ametetea vikali mswada wa katiba mpya uliopitishwa na bunge na kusema hata mwalimu Nyerere wakati wa uandaaji katiba ya mwaka 1977 aliteua wajumbe nusu kwa nusu kati ya Tanganyika na Zanzibar.Waziri huyo ameilaani Chadema na kumfananisha Tundu Lissu na mtu asiye na akili. Bwana Juma Duni Haji ameyasema hayo katika kipindi maalum cha dakika 45 ambacho kimerekodiwa na kitarushwa siku ya Jumatatu.
ivi faizafox zamani enzi izo za uhai wa cuf kwani sasa nasadiki kuwa imekufa au inakufa, wazanzibar tulipokuwa tukiumizwa tulikuwa tuna mlilia nani wajua?? simple ni Cuf leo kashaolewa na CCM wadhani bado tukiumizwa tuna mfuata cuf?? hujui kuwa naye yuko serikalini anashiriki kutuumiza?? wajua tunakimbilia wapi?? simple CDM aka Chadema, ivyo kabla ya kuandika jua kuna mengi sana ya kutafakali.. chadema inaingia kwa kasi sana huku kwetu zanzibar ila ni underground pia bayan, iloooooooo...Kuna swala la uhalali wa chadema kwani kuna uwezekanoi mkubwa sana kuwa Zanzibar hawana wanachama au kwa hili la Tundu likawapelekea katika hao wanachama wasiozidi 20 na wao kukisusa chadema. Hapo sasa, sijui Tendwa ataamuwa vipi?
ivi faizafox zamani enzi izo za uhai wa cuf kwani sasa nasadiki kuwa imekufa au inakufa, wazanzibar tulipokuwa tukiumizwa tulikuwa tuna mlilia nani wajua?? simple ni Cuf leo kashaolewa na CCM wadhani bado tukiumizwa tuna mfuata cuf?? hujui kuwa naye yuko serikalini anashiriki kutuumiza?? wajua tunakimbilia wapi?? simple CDM aka Chadema, ivyo kabla ya kuandika jua kuna mengi sana ya kutafakali.. chadema inaingia kwa kasi sana huku kwetu zanzibar ila ni underground pia bayan, iloooooooo...
Waziri wa Afya wa Zanzibar-CUF bwana Juma Duni Haji ametetea vikali mswada wa katiba mpya uliopitishwa na bunge na kusema hata mwalimu Nyerere wakati wa uandaaji katiba ya mwaka 1977 aliteua wajumbe nusu kwa nusu kati ya Tanganyika na Zanzibar.Waziri huyo ameilaani Chadema na kumfananisha Tundu Lissu na mtu asiye na akili. Bwana Juma Duni Haji ameyasema hayo katika kipindi maalum cha dakika 45 ambacho kimerekodiwa na kitarushwa siku ya Jumatatu.
Kuna swala la uhalali wa chadema kwani kuna uwezekanoi mkubwa sana kuwa Zanzibar hawana wanachama au kwa hili la Tundu likawapelekea katika hao wanachama wasiozidi 20 na wao kukisusa chadema. Hapo sasa, sijui Tendwa ataamuwa vipi?
Kuna swala la uhalali wa chadema kwani kuna uwezekanoi mkubwa sana kuwa Zanzibar hawana wanachama au kwa hili la Tundu likawapelekea katika hao wanachama wasiozidi 20 na wao kukisusa chadema. Hapo sasa, sijui Tendwa ataamuwa vipi?
Wapemba tumewakaribisha bara na tumewapa uhuru wa kuuza nyanya tu, basi. mengineyo tuachieni wenyewe.Waziri wa Afya wa Zanzibar-CUF bwana Juma Duni Haji ametetea vikali mswada wa katiba mpya uliopitishwa na bunge na kusema hata mwalimu Nyerere wakati wa uandaaji katiba ya mwaka 1977 aliteua wajumbe nusu kwa nusu kati ya Tanganyika na Zanzibar.Waziri huyo ameilaani Chadema na kumfananisha Tundu Lissu na mtu asiye na akili. Bwana Juma Duni Haji ameyasema hayo katika kipindi maalum cha dakika 45 ambacho kimerekodiwa na kitarushwa siku ya Jumatatu.
Wapemba tumewakaribisha bara na tumewapa uhuru wa kuuza nyanya tu, basi. mengineyo tuachieni wenyewe.