CUF Waweweseka, Sasa wataka Serikali Mbili

ibange

JF-Expert Member
Dec 31, 2010
1,543
550
Katika pigo kubwa tulilopata Tanzania ni CUF kutoka kuwa imara cha upinzani na kukosa mwelekeo kabisa. Sera za CUF ambazo wamekuwa wanazihubiri miaka yote ni kuwa na serikali tatu katika muungano. Nimesoma Mwananchi ya leo eti wabunge wa Znz wakiwemo wa CUF wanasema wao wanataka tuendelee na serikali mbili na kwamba wanaotaka serikali tatu wanataka kuleta fujo. Sasa CUF kama chama mmebadili sera lini au kwa vile CCM wanasimamia hapo? Ndio maana naipenda Chadema ina Msimamo
 
Ile operesheni MCHAKAMCHAKA imeishia wapi?..mbona sijaisikia, wakati ilisemekana itaanzia kazi Arusha?
 
leo wamelalamika bungeni spika anawatenga, anawabanikuuliza maswali ya nyongeza, eti spika anawapendelea chadema na ccm
 
Naomba kuuliza wana jamvi wenzangu,hivi sera ya chama si inaweza kubadilika kutokana na mazingira au??
 
Nafikiri cuf wamebanwa na wapemba walioko bara kwani ni miongoni mwa makundi yanayonufaika sana na kuwepo muungano na wanajua kuwa na serikali tatu ni mwanzo wa kuvunjika muungano kwa hiyo muungano ukivurugika wao ndio wataathirika zaidi je wang'ang'anie muundo wa serikali tatu wapoteze sapoti wanayopata au wang'ang'anie serikali mbili ili waendelee kupata sapoti
wameamua kuchagua la pili jambo jingine wao wakosalama zaidi kwenye muungano kuliko ukivunjika kumbuka kwa mara ya kwanza mtu aliyetoka Pemba ameweza kuongoza Zanzibar
 
Cha kutia moyo kwa CDM ambayo sera yake ni serikali 3, ni kuwa CUF ni wachovu wachache na CCM wamechoka na kuchokwa.
 
Hivi maswala ya muungano ni misimamo na sera za vyama na sio maoni ya wananchi tena??????????
 
leo wamelalamika bungeni spika anawatenga, anawabanikuuliza maswali ya nyongeza, eti spika anawapendelea chadema na ccm

hahaha sasa watauliza maswali gani? au Znz ni nchi? mbona huwa hawana maswali? yakiwepo basi Znz bas. Poor CUF na CCM watawapa talaka very soon hawana mashiko siku hizi
 
kitu cha kufurahisha zaidi mumejiuliza maswali na pia munajipatia majibu wenyewe! hamujiskii nishai?? teh teh teh, kweli ujendaazimu upo wa aina nyingi!
 
Nimemmis Mtatiro Julius Mtatiro naona kachagua fungu jema la kukaa kimya nahisi ataibukia chama makini muda si mrefu keshaona SACOS ya wapemba hailipi tena.
 
Back
Top Bottom