FairPlayer
JF-Expert Member
- Feb 27, 2006
- 4,145
- 716
Nikisemaga kuwa wapinzani hawana sera mnaona natetea CCM.
CCM kweli inaelekea nayo kufilisika ila wapinzani ndio walishafilika na kujichokea kabisa.
Alitakiwa Maalim au profesa asimame na kuwaomba wasifanye hayo, badala yake wamekaa kimya!
CCM kweli inaelekea nayo kufilisika ila wapinzani ndio walishafilika na kujichokea kabisa.
Alitakiwa Maalim au profesa asimame na kuwaomba wasifanye hayo, badala yake wamekaa kimya!