SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 43,707
- 60,758
CCM wamelikoroga wacha walinywe wenyewe. Dawa ni kuwaondoa madarakani tu. Na hao CUF wameshazoea vya kunyonga,hawana jipya zaidi ya kujikomba kwa buzi lao magamba. HAKUNA MWAFAKA NA MAFISADI.