P PapoKwaPapo JF-Expert Member Jun 5, 2008 380 45 Nov 1, 2010 #22 samora10 said: kaka mbona that was obvious? sasa tunafukuzia majimbo ya unguja so far tun a moja tayari kibindoni Click to expand... hatufukuzii mpaka sasa CUF wanajimbo moja unguja
samora10 said: kaka mbona that was obvious? sasa tunafukuzia majimbo ya unguja so far tun a moja tayari kibindoni Click to expand... hatufukuzii mpaka sasa CUF wanajimbo moja unguja
Rutashubanyuma JF-Expert Member Sep 24, 2010 219,470 911,172 Nov 1, 2010 #23 JK upeo ni mdogo alishindwa kusoma alama za wakati.....sasa yamemfika.......................
A Abdallah M. Nassor JF-Expert Member Mar 20, 2008 600 620 Nov 1, 2010 #24 mwaka wa ukombozi ndio huu
MTWA JF-Expert Member Aug 5, 2009 1,166 166 Nov 1, 2010 #25 Hebu tupeni data za ukweli, tunataka shein atoke, na hapo lazima mabadiliko ya kweli yatakuja!
Abdulhalim Platinum Member Jul 20, 2007 17,193 3,011 Nov 1, 2010 #26 Ustaadh said: Kwa matokeo rasmi ya zanzibar bofya Zanzibar Referendum -- 31 July 2010 Click to expand... Hiyo website ya kifidhuli.. Sasa ina kazi gani ikiwa haiweki matokeo kadiri ya yanavyokuja??
Ustaadh said: Kwa matokeo rasmi ya zanzibar bofya Zanzibar Referendum -- 31 July 2010 Click to expand... Hiyo website ya kifidhuli.. Sasa ina kazi gani ikiwa haiweki matokeo kadiri ya yanavyokuja??