chadema walitaka kunyang'anya mume wa CUF pasipo kufuata utaratibu. Utaingiaje nyumbani wa CCM bila CUF kuwepo? uliwahi kuona wapi mnamtembelea mtu halafu unasema mke wako nisimkute nyumbani kwako. Hapa Jf wanachadema ndio wanasema kuna ndoa kati ya CCM na CUF. Nini cha ajabu kama CUF wameomba kukutana na Rais