CUF wapeleka barua Ikulu ya kuonana na Rais

Hakuna tatizo cf kuonana na rais ila kwa issue ya katiba c waliiunga mkono? cf bara wawe makini na cf zanzibar. cf zanzibar wanashinikiza mambo ambayo yanaua cf bara na kupoteza umaarufu kwa tz bara. Cf ijiandae kubaki chama cha pemba.

Kama mwananchi na mwana ccm, ukweli ni kwamba hatuogopi kuwapa nchi chadema lakini tunaogopa cuf zaidi maana hatujui price tag yao na personalities za kuhonga..

Kwa cdm tunawafahamu nani na yupi wa kuhonga na nani ataenda kumpa hela..sasa wewe utashangaa cuf ni kizuri kupita chama chochote wakirekebisha mambo madogo madogo ya management ..hasa (media)
 
Kweli cdm ndo wanaöngoza nchi,walisema tutaleta katiba mpya, ccm wakadakia!!! Wameomba kuonana na rais cuf nao wamedakia wanataka!!sasa kwann nyie cuf msiungane na cdm?shame on you

wewe lazima una tatizo kwani umeanza kwa kuharibu siku yangu haswa ukizingatia hujui hata katiba kuwa siyo mali ya cdm wala ccm kwa hiyo cdm hawakuwa na uwezo wa kuleta katiba.
 
kibamba nae aende na wanaharakati wake huu ndo muda kama kweli ana nia nzuri juu ya katiba, cyo kutoa mapovu2 kwenye vyombo vya habari na kutuchanganya wananchi, Viva Tanzania viva katiba mpya.
 
CHADEMA walikuwa serious na katiba lakini CUF wanaenda kuuza sura.

Walikuwa serious ndio "wakakubaliana mambo mawili kwa siku mbili"...

Unapenda vibaya, wewe..at least CUF wana katiba rasimu (waliyoifanyia kazi)

Kuliko chadema ambao wanaomba kupewa wajumbe wengi kwenye tume?? ulaji period..lol
 
hakuna tatizo cf kuonana na rais ila kwa issue ya katiba c waliiunga mkono? Cf bara wawe makini na cf zanzibar. Cf zanzibar wanashinikiza mambo ambayo yanaua cf bara na kupoteza umaarufu kwa tz bara. Cf ijiandae kubaki chama cha pemba.
nimeipenda hii hoja, ni ya ukweli sana..
 
Sasa hawa ni fujo tu. Si waliiuafiki Muswada Bungeni? Wanataka wamwambie nini tena?
Pengine wanataka kumwambia JK asiwasikilize CDM ni wakorofi tu. nadhani ni hiyo tu!

CUF imepoteza mwelekeo na zaidi huku Tanganyika. Hii tabia yao ya kupinga jambo lolote lenye maslahi ya Taifa kwasababu limeletwa ama kuanzishwa na CDM linawapeleka kwa kasi ya ajabu ktk kifo cha kisiasa.
 
hatimaye wa bia wa ccm cuf nao wanataka kwenda ikulu nao
source tbc newz
 
hii ni aibu kweli. Uamuzi wa cdm na cuf unamjenga jkbila sababu. Yani kama watoto wanamlilia vile baba. Shame
haimjengi jk kwa lolote!! Jk hajengeki ata iweje, tungekuwa ni nchi makini na ya demokrasia ya kweli jk angeshaikimbia nchi, tarehe 5/2/2011 ktk sherehe zao za ccm alitwambia haijui wala aifahamu dowan ktk cc pia nec imedhihirika dowans pia richmond alizijua in and out na hakukanusha, na ata natumai ni mali yake ndo ata wengi serikalini wanashadadia ilipwe tozo manake alipwe jk, ivyo uyu ni fisadi pia muongo ivyo… ajengeki kwa lolotecuf wadandia hoja, walisharidhia kila kitu ktk kikao mipasho cha bunge kilichoisha nov 2011, sie watanzania tunasikiliza cdm watwambie tufanye nini, tutafanya, plz cdm tupe direction ya kufuata
 
CUF imepoteza mwelekeo na zaidi huku Tanganyika. Hii tabia yao ya kupinga jambo lolote lenye maslahi ya Taifa kwasababu limeletwa ama kuanzishwa na CDM linawapeleka kwa kasi ya ajabu ktk kifo cha kisiasa.

Acheni ubinafsi nyee..

Mapendekezo gani ya chadema ni kwa ajili ya maslahi ya Taifa zaidi ya kuomba kuwa na wajumbe wengi kwenye tume??

Mkuu CUF, NCCR, etc..ni wananchi pia na wanatakiwa kusikilizwa kwa maslahi ya taifa kwanini cdm wako wabinafsi hivi..

mna ajenda gani ya siri kwenye hii katiba??/
 
hatimaye wa bia wa ccm cuf nao wanataka kwenda ikulu nao
source tbc newz


Mkuu CUF nacho ni chama cha siasa kama CDM nao wana haki ya kuonana na Mkuu wa Nchi kama walivyofanya CHADEMA. TLP, UPDP, DP, UDP, Demokrasia Makini, NCCR Mageuzi, n.k nao wana haki ya kuandika barua na kutaka kuonana na Mkuu wa nchi kama ilivyofanya CHADEMA. Na hata CCM pia inaweza kutaka kuonana na Mkuu wa Nchi huko Ikulu ili kueleza yaliyo moyoni kwa kuwa nacho ni Chama cha siasa. Kuonana na Rais Ikulu si haki ya chama kimoja tu!
 
wanaenda kupinga ule waraka uliowasilishwa na CDM ili kikwete acheze fairplay kuwa kilichowasilishwa ndicho kitakachofanyiwa kazi, hivyo waraka wa CDM hauna tija tena, loh!
 
Ebana hii ishu ni kweli, ila naamini watanzania wana akili timamu, hii inazidi kuishushia cuf hadhi ambayo tayari haipo, hawa cuf majua walishabikia sana kwa njia ya mipasho kupitishwa kwa huu mswada ulosainiwa na jk leo, sasa wanaenda ikulu kufanyaje maana icho ndo walichokiitaji. Jamani uyu mkuu wa kaya sasa bona anafanyiwa masiala, si awaeleze kuwa mnataka nini wakati mliafiki?? Aaaaaaah basi na ccm waende kumuona jk pia. Aaaaaaah zis kantry bwana
 
Back
Top Bottom