Mkuu Ngekewa nilikuwa nazungumzia wakati kabla ya Uhuru, hivi vyama vilipata fedha toka kwa wanachama wao. Ndio nikaandika sioni sababu sasa hivi vyama vya siasa kupewa fedha yote hiyo ya walipa kodi.
Sasa wasipopewa fedha hizo hizo EPA si zitakuwa maradufu?