Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,492
- 92,979
Lugha ya kufikiri haikubaliki hapa JF, kama kitu hujui ni vyema ukakaa kimya, usimkosoe mwenzako wakati wewe mwenyewe huna uhakika na unachokisema.Hapo kwenye red sio kweli mkuu labda nikusaidie, Twaha Taslima ni Mhaya wa Bukoba Vijijini, Huyo bwana mdogo Abdul Kambaya anatoka Dar es Salaam na hata huyo mama Mkiwa Kimwanga sina uhakika lakini nafikiri anatoka bara pia. Kwa hiyo, bara imewakilisha vilivyo isipokuwa suala sasa ni wana hoja gani ya maana hao?
Kinachowashangaza watu hapo ni kwamba huo ni ujumbe wa chama au ni ujumbe wa Bakwata? maana wajumbe wote wametoka msikitini ndio wakaenda Ikulu kukuatana na Alhaji Kikwete.