CUF Wanachekesha; Wanapendekeza mabadiliko ya muswada...!

Wafuata mkumbo tuu hao kwani wameshaishiwa na hawana jipya zaidi ya kuwazuga wafuasi wao kwa kujionyesha eti nao wapo
Yes babad uko correct, wafuasi wa CUF hawaamini macho yao kwa kinachoendelea, chama chao badala ya kujiINVOLVE ktk mageuzi ya kweli wanaamua kuolewa na magamba (mwanangu kuolewa na wasira yule na wenzake) akya mungu ata mie nisingekubali heri niache ufuasi wa CUF
 
Katika vyama vilivyokosa mwelekeo jamani ni CUF. Nimesikiliza TBC hapa wanasema wamempa rais mapendekezo ya kubadili mswada wakati juzi tu waliupisha wao kwa kuunga mkono asilimia mia moja. Chama gani cha siasa ambacho hakina msimamo wamebaki kufuata upepo tu? Je, chadema wasingepinga mswada leo wangeleta mapendekezo ufanyiwe marekebisho?

Naona KIkwete ameamua kufanya Siasa kwenye mjadala wa katiba....

Huwezi kulazimisha kukutana na mtu au watu Kama hawana hoja.....CUF walishaukubali huo Mswada...bungeni.....,Leo hii kwenda ikulu ni kukurupuka tu ili kuondoa uhalali wa hoja za Chadema
Na itambulike kuwa kikubwa sio kwenda ikulu ...kikubwa ni hoja.......".,

Hao Wajumbe wa CUF naona wote ni wazanzibar ..ukiacha Mtatiro....sasa sijui uuwiano uko wapi..hapo,Je inategemea Hao wataongelea haki za watanganyika million 44 au wazanzibar million 1.5.?
 
nimecheka mbavu sina baada ya kusikia majina ya walioenda ikulu.Ni jina la Julius Mtatiro tu lina tofauti na hayo mengine.Mengine yote yaliyobaki ni yale yale ya chama chetu.Hakika tunadumisha mila!
hapa nasikia halufu ya kile kinachokatazwa duu!
 
Awa n wapuuziiiiiiii? Na wanafik wakubwa si waliungana na ccm kupitisha huo mswada na kuwaponda chadema sasa wamapeleja nin tena au wamejisikia hamt ya kwenda kunywa chai ikulu na kumshika Kikwete mkono, walisahau wajibu wao badala ya kutoa hoja wakajikuta wanaiponda chadema na Lisu. Akuna asiyejua kuwa CUF ni CCM B walikuwa wapinzan zaman
 
Hawachekeshi bali wanajidhalilisha kwa umma. Kama waliamini bungeni ni sehemu ya haki ya kutolea mawazo yao, na wakafanya hivyo (ikiwa ni pamoja na kuikosoa CHADEMA iliyosusia) sasa nini kinawasumbua kwenda ikulu na mapendekezo wakati walishiriki kuandaa muswada wenyewe? Akili za kitoto kabisa

Pathetic mob!
 
Ukifikiria vibaya,utaongea vibaya na utafanya vibaya. Ndicho kinachowakuta cuf.
 
Mimi nafikiri JK ameona hoja zilizowakilishwa na makamanda wa chadema ni za msingi maana zimebeba mustakabali wa taifa,Sasa akaona akifanya mabadiliko chadema watakuwa wameshinda.Hivyo amewaita na CUF ili iwe kisingizio kuwa ni mapendekezo ya vyama vya upinzani na sio CDM pekee.
 
Hawachekeshi bali wanajidhalilisha kwa umma. Kama waliamini bungeni ni sehemu ya haki ya kutolea mawazo yao, na wakafanya hivyo (ikiwa ni pamoja na kuikosoa CHADEMA iliyosusia) sasa nini kinawasumbua kwenda ikulu na mapendekezo wakati walishiriki kuandaa muswada wenyewe? Akili za kitoto kabisa

Pathetic mob!

Najaribu ku-focus mbele then naona mambo mawili makuu kabla ya 2015, moja ni CUF kuzorota huko Zenj na kufa kabisa huko Tanganyika na hili ni lazima litafanyika kutokana na ndoa yao na CCM inayowafanya washindwe kuwawakilisha wanainchi wao, pili kuna uwezekano mkubwa sana unaokaribia 99% kuwa CUF itasambaratika na kuzaa chama kingine ambacho hakitakuwa na ndoa na serikali na ndicho chama kitakachowakilisha matatizo ya wazanzibari na watanganyika bila kuichekea serikali legelege...tusubiri kidogo,
 
Naona KIkwete ameamua kufanya Siasa kwenye mjadala wa katiba....

Huwezi kulazimisha kukutana na mtu au watu Kama hawana hoja.....CUF walishaukubali huo Mswada...bungeni.....,Leo hii kwenda ikulu ni kukurupuka tu ili kuondoa uhalali wa hoja za Chadema
Na itambulike kuwa kikubwa sio kwenda ikulu ...kikubwa ni hoja.......".,

Hao Wajumbe wa CUF naona wote ni wazanzibar ..ukiacha Mtatiro....sasa sijui uuwiano uko wapi..hapo,Je inategemea Hao wataongelea haki za watanganyika million 44 au wazanzibar million 1.5.?

Hapo kwenye red sio kweli mkuu labda nikusaidie, Twaha Taslima ni Mhaya wa Bukoba Vijijini, Huyo bwana mdogo Abdul Kambaya anatoka Dar es Salaam na hata huyo mama Mkiwa Kimwanga sina uhakika lakini nafikiri anatoka bara pia. Kwa hiyo, bara imewakilisha vilivyo isipokuwa suala sasa ni wana hoja gani ya maana hao?
 
CCM nao mbona wanajipanga weende ikulu kupeleka mapendekezo yao? hahahaha
 
Katika vyama vilivyokosa mwelekeo jamani ni CUF. Nimesikiliza TBC hapa wanasema wamempa rais mapendekezo ya kubadili mswada wakati juzi tu waliupisha wao kwa kuunga mkono asilimia mia moja. Chama gani cha siasa ambacho hakina msimamo wamebaki kufuata upepo tu? Je, chadema wasingepinga mswada leo wangeleta mapendekezo ufanyiwe marekebisho?

Magamba wamewatuma wafanye hivyo ili ionekane cdm si lolote ili kwa hili magamba mmechemka jaribuni ktk lingine
 
Katika vyama vilivyokosa mwelekeo jamani ni CUF. Nimesikiliza TBC hapa wanasema wamempa rais mapendekezo ya kubadili mswada wakati juzi tu waliupisha wao kwa kuunga mkono asilimia mia moja. Chama gani cha siasa ambacho hakina msimamo wamebaki kufuata upepo tu? Je, chadema wasingepinga mswada leo wangeleta mapendekezo ufanyiwe marekebisho?

Wanafiki wakubwa hawa kimewapeleka Ikulu chai,juice na kuuza sura kwenye magazeti na TV.
 
Nashukuru kwa kuchangia coz nikichangia nitatukana na kupata ban ngoja ninyamaze niendelee kusoma maoni ya wadau wengine. Cuf you have died
Hahaha kweli mkuu unadukuduku, manake umekana huwezi changia but ukasema no japo suna tu... Cuf Wanaboa na halafu ni vilaza hamna mfano lol
 
Haaaa hivi hawakupewa juice na maziwa? Au naye jeikei hakupata mshaara? Ni kweli hawajanywa hata maji?
 
Naona KIkwete ameamua kufanya Siasa kwenye mjadala wa katiba....

Huwezi kulazimisha kukutana na mtu au watu Kama hawana hoja.....CUF walishaukubali huo Mswada...bungeni.....,Leo hii kwenda ikulu ni kukurupuka tu ili kuondoa uhalali wa hoja za Chadema
Na itambulike kuwa kikubwa sio kwenda ikulu ...kikubwa ni hoja.......".,
Hao Wajumbe wa CUF naona wote ni wazanzibar ..ukiacha Mtatiro....sasa sijui uuwiano uko wapi..hapo,Je inategemea Hao wataongelea haki za watanganyika million 44 au wazanzibar million 1.5.?

Yeah! Umeona eeh!
Kuna wakati mmoja wa ugombea urasi sijui ni nani aliwahi kusema kama yeye akiwa rais atampa uwaziri wa michezo JK sababu kakaa kisanii sanii.
Yani hapa anapiga siasa na usanii katika jambo muhimu la mstakabali wa kizazi chetu na kijacho! siamini kabisa!
 
Mimi nilishangaa kumwona myaa wakati mbungeni nilimsikia kwa masikio yangu anasema. Serikali imeleta mswada mzuri hauna matatizo, wapinzani wanapotosha, lisu amewatukana wanzanzibar. Akampongeza kikwete na serikali kwa mbwembwe zote. Jana namwona ikulu amepeleka mapendekezo. Sasa najiuliza hivi myaa amekuwaje au ndo bendera fuata upepo, ama kweli cuf ni ccm b na itakuwa vigumu kujinasua.
 
CUF ni chama mfu, kimeshindwa kutetea maslah ya wananchi, sasa kinatetea maslah mazuri ya viongozi wake na kuwaacha wananchi wakiwa kama mtoto mkiwa
 
CCM bana kuiangusha ni kazi sana wataendelea kuwatawala mpaka mnaingia kaburini...unaona saizi CCM walivyokuwa mafia wamewachonganisha Chadema na Cuf, na NCCR Mageuzi.

Kama saizi CCM wapo pembeni imewaacha wapinzani uchwara wanagombana.

JK ni noma..aisee!
Noma kwa UFISADI au?
 
Back
Top Bottom