hawa CUF wapuuzi sana hawajui wanasimamia nini. Hawajui kama wanakataa au wanakubali. Tatizo kubwa la hawa jamaa toka wamekuwa nyumba ndogo ya CCM hawaeleweki wala mwenyekiti wao hasikiki kabisa wala katibu wao mkuu. CUF haina msimamo kila mtu kwenye chama anafanya anavyo jisikia hata msemaji wao hajulikani. Tusubiri hizo tetesi zao za kupinduana zifanikiwe.