CUF Wanachekesha; Wanapendekeza mabadiliko ya muswada...!

ibange

JF-Expert Member
Dec 31, 2010
1,543
550
Katika vyama vilivyokosa mwelekeo jamani ni CUF. Nimesikiliza TBC hapa wanasema wamempa rais mapendekezo ya kubadili mswada wakati juzi tu waliupisha wao kwa kuunga mkono asilimia mia moja. Chama gani cha siasa ambacho hakina msimamo wamebaki kufuata upepo tu? Je, chadema wasingepinga mswada leo wangeleta mapendekezo ufanyiwe marekebisho?
 
Wanaugonjwa wa kucheka sijui unaitwaje vile kwa kidhungu
 
Hawa si walichangia bungeni na kupitisha muswada tunajua walitaka chai juice wameambulia patupu.
 
Katika vyama vilivyokosa mwelekeo jamani ni CUF. Nimesikiliza TBC hapa wanasema wamempa rais mapendekezo ya kubadili mswada wakati juzi tu waliupisha wao kwa kuunga mkono asilimia mia moja. Chama gani cha siasa ambacho hakina msimamo wamebaki kufuata upepo tu? Je, chadema wasingepinga mswada leo wangeleta mapendekezo ufanyiwe marekebisho?

walikuwa wamesahau mambo 3 makubwa: mahakama ya kadhi,kujiunga na oic na ijumaa kuwa siku ya mapumziko
 
CUF kama Chama kikuu cha upinzani nchini lazima kitoe changamoto kwa chama tawala
 
Katika vyama vilivyokosa mwelekeo jamani ni CUF. Nimesikiliza TBC hapa wanasema wamempa rais mapendekezo ya kubadili mswada wakati juzi tu waliupisha wao kwa kuunga mkono asilimia mia moja. Chama gani cha siasa ambacho hakina msimamo wamebaki kufuata upepo tu? Je, chadema wasingepinga mswada leo wangeleta mapendekezo ufanyiwe marekebisho?

CUF wanachekesha sana. yaani hicho ndo kiliwapeleka wakakutane na mme wao magamba. walichojadili ni sawa sawa kutoa mb*o na kuingiza p**mb*.
 
Hizi ndo zile siasa alizosema RA wakati anaachia nafasi yake ya ubunge na nyinginezo (kujivua gamba).
 
Hawa si walichangia bungeni na kupitisha muswada tunajua walitaka chai juice wameambulia patupu.

nimecheka mbavu sina baada ya kusikia majina ya walioenda ikulu.Ni jina la Julius Mtatiro tu lina tofauti na hayo mengine.Mengine yote yaliyobaki ni yale yale ya chama chetu.Hakika tunadumisha mila!
 
Katika vyama vilivyokosa mwelekeo jamani ni CUF. Nimesikiliza TBC hapa wanasema wamempa rais mapendekezo ya kubadili mswada wakati juzi tu waliupisha wao kwa kuunga mkono asilimia mia moja. Chama gani cha siasa ambacho hakina msimamo wamebaki kufuata upepo tu? Je, chadema wasingepinga mswada leo wangeleta mapendekezo ufanyiwe marekebisho?

Kazi yao inaendelea..ni njia ya kuua nguvu ya CHADEMA katika hili,baadae watasema hata CUF nao wanahitaji mabadiliko katika hili kwa hiyo CHADEMA wasilazimishe..vingenevyo ni dalili mbaya kwa CUF kwa maana kwamba kuna uwezekano kuwa msimamo wa CUF ukawa tofauti kati ya CUF-Zanzibar na CUF-Bara..na hili linaonekana kupitia kauli ya Julius Mtatiro muda mfupi baada ya mswada huu kuwekwa hadharani.....kama hilo si kweli,basi hawa jamaa ni wahuni tena wanafiki wakubwa na waone aibu wakati mwingine,wanawachezea watanzania na kudhani kuwa uwezo wa watanzania kufikiri ni mdogo kiasi hicho?
 
Sijakuelewa! chama kikuu cha upinzani wapi? au ndoto za Hamad rashid?
kiongozi wa cuf bungeni angekuwa hamadi rashid asingekubali kwenda kwa jk kujidhalilisha namna hii. mnyaa hamna kitu. mmekula matapishi yenu wenyewe. msipende kuiga mtapasuka msambaa. bungeni mmepitisha muswada mkidai una maslahi kwa znz sasa iweje leo mseme mwaomba marekebisho? CUF is no longer a political party for the people.
 
nimecheka mbavu sina baada ya kusikia majina ya walioenda ikulu.Ni jina la Julius Mtatiro tu lina tofauti na hayo mengine.Mengine yote yaliyobaki ni yale yale ya chama chetu.Hakika tunadumisha mila!

usipojiangalia sana udini utaharibu mfumo wako wa kufikiri! Yaani hadi choo unakiona kimejengwa kwa system ya dini fulani.
 
Bado NCCR,TLP NA UDP Kupeleka maoni yao.kazi kweli kweli
Unajua hawa jamaa wanapelekeshwa na jamaa mmoja mwenye uchu wa madaraka bwana HR. nafasi yake ya kuchangia muswada wa katiba aliutumia kumponda Lisu badala ya kujenga hoja za kupinga muswada ule, wakaupitisha, umekula kwao na ndo wamegundua sasa wanajifanya wanajikakamua. :shock:Shem upon them. Ila hawa jamaa nina wasiwasi nao baadhi maana elimu yao na miswada inayopelekwa bungeni MMMMH!!! sijui. Nilishasema kuwa CUF ni bi mdogo wa CCM sasa ameona MZEE amamkaribisha Kidume home naye anataka ajitutumue ajioneshe kuwa naye ni wakaribu sana na MZEE wake. CUF na CCM mna siasa uchwara (R.A, 2011, Igunga)
 
nimecheka mbavu sina baada ya kusikia majina ya walioenda ikulu.Ni jina la Julius Mtatiro tu lina tofauti na hayo mengine.Mengine yote yaliyobaki ni yale yale ya chama chetu.Hakika tunadumisha mila!
Julius Mwenyewe naona hilo jina la kazi, ukimuangalia vizuri kwenye paji la uso ni kama vile huwa anaswali kwa kubong'oka.
 
usipojiangalia sana udini utaharibu mfumo wako wa kufikiri! Yaani hadi choo unakiona kimejengwa kwa system ya dini fulani.

hapana mkuu,sina udini kabisa.Nilikuwa nachambua tu majina ya waliohudhuria
 
Back
Top Bottom