Ms Judith
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 2,563
- 918
|
| |
|
|
| |
|
wameogopa kuwa na mskitiki wao maarufu wa Mtoro sasa wanataka kuonyesha kwamba si Uislam ni Chama kwa kwenda Jangwani
wameogopa kuwa na mskitiki wao maarufu wa Mtoro sasa wanataka kuonyesha kwamba si Uislam ni Chama kwa kwenda Jangwani
Alisema kuwa walitizamia kupata kiwanja kingine lakini utafiti umeonesha uwanja huo wa Jangwani ndiyo pekee unaoweza kuhimili shughuli za chama chao kwa Mkoa wa Dar es Salaam, kwa hiyo wanasubiri Wakatoliki wamalize kisha watafanya mkutano wao.