Chama cha wanainchi cuf kimetoa siku 3 kwa jeshi la police kufuta kauli yake ya kuzuia maandamano na mikutano kwa muda usiojulikana.
Akiongea na waandishi wa habari katika makao makuu ya chama hicho Buguruni kaimu katibu mkuu Julius Mtatiro, amesema kauli hiyo imekwenda kinyume na sheria ya demokrasia duniani na hata katiba ya jamhuri ya muungano. Alisema shughuli za vyama vya siasa ni pamoja na maandamano na mikutano ili kupata wanachama wapya.
"Tutaendelea kuomba, ole wao watunyime tutachukua hatua" alisema kaimu katibu mkuu Julius Mtatiro.
Akiongea na waandishi wa habari katika makao makuu ya chama hicho Buguruni kaimu katibu mkuu Julius Mtatiro, amesema kauli hiyo imekwenda kinyume na sheria ya demokrasia duniani na hata katiba ya jamhuri ya muungano. Alisema shughuli za vyama vya siasa ni pamoja na maandamano na mikutano ili kupata wanachama wapya.
"Tutaendelea kuomba, ole wao watunyime tutachukua hatua" alisema kaimu katibu mkuu Julius Mtatiro.