figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,491
- 54,884
- Thread starter
- #41
Bora hata wengewapa kinamama wafungue mama ntilie kuliko kuwapa hao magwanda, wanaochochoea uvunjifu wa AMANI!
mama ntilie wasingekubali kwa sababu wanajua mtakuja kula bule na kubwaga chakula kisha muondoke na sefulia kwa kivuli cha mugambo ambao ndo nyie uvccm.mia