figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,888
Katika hali isiyo ya kawaida CUF wameamua kutupa sisi CHADEMA ofisi yao ya tawi waliyokuwa wanaitumi.Tayari tumeshafuta maandishi ya CUF na kuandika maandishi ya CHADEMA na kupandisha bendera.
Mungu akijalia kesho Jumamosi tutafuta nembo ya CUF Iliyoandikwa wakeleketwa wa CUF na kuandika WAKELEKETWA WA CHADEMA.Hili tawi la CUF ni lile ambalo lipo KURASINI DAR ES SALAAM karibu na MSIKITI MDOGO hapa relini.
Natumia nafasi hii kuwashukuru wanaCuf na CCM wanaoendelea kuiunga mkono CHADEMA.
Asanteni sana.Mia
Mungu akijalia kesho Jumamosi tutafuta nembo ya CUF Iliyoandikwa wakeleketwa wa CUF na kuandika WAKELEKETWA WA CHADEMA.Hili tawi la CUF ni lile ambalo lipo KURASINI DAR ES SALAAM karibu na MSIKITI MDOGO hapa relini.
Natumia nafasi hii kuwashukuru wanaCuf na CCM wanaoendelea kuiunga mkono CHADEMA.
Asanteni sana.Mia