Wameanza mkakati rasmi wa kuchangia chama kwa kutumia mtandao wa zantel. Mpango huo umezinduliwa huko zanzibar na Profesa Lipumba ktk mkutano wa hadhara. Je ni mpango ule ule wa kuiga chadema?, je wasingeanza chadema wangeiga nini?.
Wameanza mkakati rasmi wa kuchangia chama kwa kutumia mtandao wa zantel. Mpango huo umezinduliwa huko zanzibar na Profesa Lipumba ktk mkutano wa hadhara. Je ni mpango ule ule wa kuiga chadema?, je wasingeanza chadema wangeiga nini?.
Tunawakaribisha, sisi siyo wachoyo wa Mawazo.
Tunawakaribisha, sisi siyo wachoyo wa Mawazo.
Mbona kumbukumbu zangu zinaonyesha kwamba CCM ndio walikuwa wa kwanza kutumia mitandao ya simu kuchangisha pesa au kumbukumbu zangu zimepotea kidogo?
Wameanza mkakati rasmi wa kuchangia chama kwa kutumia mtandao wa zantel. Mpango huo umezinduliwa huko zanzibar na Profesa Lipumba ktk mkutano wa hadhara. Je ni mpango ule ule wa kuiga chadema?, je wasingeanza chadema wangeiga nini?.
Mbona kumbukumbu zangu zinaonyesha kwamba CCM ndio walikuwa wa kwanza kutumia mitandao ya simu kuchangisha pesa au kumbukumbu zangu zimepotea kidogo?
Oya mambo gani tena unaleta hata kama ni kweli ccm walikuwa wa kwanza kuchangisha kwa kutumia simu na zile scrach cards zao ni lazma useme? cdm ndio wa kwanza jamani mwacheni Kimbunga na kumbukumbu zake! wanachama wa cdm wananitia shaka sana.
Naona mjumbe wa baraza kuu taifa amepigilia msumari kuwa hata wao walikaribishwa na waanzilishi na hawakuwa wachoyo kwanini wao wawe wachoyo?
wanaiga
mbinu ya chadema ili chadema waonekane kama hawana jipya......walianza
na helcopita wakaiga.
Swala kuchangisha kwa mtandao wameanzisha ccm tokea uchaguz mkuu wa 2010...Madai ya katiba mpya na tume huru ya uchaguz km tutakuwa na kumbukumbu mzur yalianzishwa na cuf na madai haya ndio yalisababisha kuvunjwa mkono pr.lipumba pale mbagala zakheem na siku inayofuata tulishuduia mauaji ya kutisha kule znz hii ilikuwa mwaka 2001.kwakwel chadema wanacopy na kupest tu hawana jipya!!