DJ CHOKA FREDY
Member
- Apr 9, 2011
- 38
- 3
Chama cha wananchi CUF kimeamua kuandaa maandamano ya nchi nzima ya kupinga mauaji na unyanyasaji wa haki za binadamu unaofanywa na jeshi la polisi hapa nchini, hayo lalielezwa na naibu katibu mkuu wa CUF Julius Mtatilo wakati alipokuwa akitoa tamko hilo mbele ya waandishi wa habari.
CUF ilidhihilisha kuwa kumbe CHADEMA wako sahihi kabisa jinsi wanavyofanya maandamano yao japo vyama vingine vya siasa vinawapinga,
Haya maandamano ya CUF wameamua kuyaandaa baada ya mtu mmoja kupigwa risasi na polisi na kufa hapohapo huko Tabora na mbunge wa viti maalumu kukamatwa na polisi kwa kusema kuwa anafanya mikmutano bila kibali..
Hayo ndiyo yaliyojili ndugu zangu
Chanzo cha habari ni CLOUDS TV.
CUF ilidhihilisha kuwa kumbe CHADEMA wako sahihi kabisa jinsi wanavyofanya maandamano yao japo vyama vingine vya siasa vinawapinga,
Haya maandamano ya CUF wameamua kuyaandaa baada ya mtu mmoja kupigwa risasi na polisi na kufa hapohapo huko Tabora na mbunge wa viti maalumu kukamatwa na polisi kwa kusema kuwa anafanya mikmutano bila kibali..
Hayo ndiyo yaliyojili ndugu zangu
Chanzo cha habari ni CLOUDS TV.