CUF sasa yameguka rasmi Pemba

sisi agent

Member
Nov 19, 2011
30
16
Katika hali isiyokuwa ya kawaida tawi la wawi babarani muda huu viongozi wa wilaya ya chake chake wametolewa katika kikao hicho kwa matusi na kuambiwa sasa ni kambi ya ADC
 
Sasa siku Prof Lipumba anapotua uwanja wa pale Dar je wananchi tukampokee kwa bendera za KAFU Orijino, KAFU-Maalim Seif au KAFU-ADC ile mpya ya kwenye bahasha?
 
Kumbe tawi la Wawi tuuuuuu, ambapo hata ingekua kweli tawi hilo moja haliwashi wala halizimi!!!! Hata hivyo habari hizi sio za kweli mimi nipo hapa Wawi na ndio nyumbani hakuna kabisa habari hizii. Wapemba wanajielewa sio watu wa kuyumbishwa na kupelekeshwa! Na ndio maana hamujawahi kusikia hata siku moja katika historia ipo siku wamegawanyika; iwe kwa majimbo, wilaya, mikoa ama sababu nyengine zozote hamutowasikia daima Wapemba wakigawanyika kwa uwezo wa Mungu. Namshkuru Mungu sana kunijaalia kua MZANZIBARI!
 
Mtatiro utujibu sasa;
mlimtuhumu hamadi rashidi ya kwamba nyendo zake zilikuwa na lengo la kukivuruga chama! hatua mliyochukua kwa madai yenu ilikuwa ni sahihi kwa mustakabali wa uwepo wa chama, mbona mnaonekana nyinyi ndo mmeendesha hujuma dhidi ya chama chenu wenyewe kwa faida ya sefu sharifu hamadi? semeni sasa kati ya sefu sharifu hamadi na hamadi rashidi nani kavuruga chama?
 
Mtatiro utujibu sasa;
mlimtuhumu hamadi rashidi ya kwamba nyendo zake zilikuwa na lengo la kukivuruga chama! hatua mliyochukua kwa madai yenu ilikuwa ni sahihi kwa mustakabali wa uwepo wa chama, mbona mnaonekana nyinyi ndo mmeendesha hujuma dhidi ya chama chenu wenyewe kwa faida ya sefu sharifu hamadi? semeni sasa kati ya sefu sharifu hamadi na hamadi rashidi nani kavuruga chama?

Suali hili hakuna haja ya kulijibu Mtatiro, hata mimi naweza kukupatia majibu: Maalim Seif anatambulika Pemba yote na ni Mkombozi wa Wazanzibari (hata Raisi wako Kikwete na Padri wako Slaa wanalijua hilo) bali Hamad Rashid ni mtoto ambaye kwa Zanzibar hakuna sehemu nyengine ambayo anajuilikana ukiwatoa wanafamilia yake hapa Wawi. Sasa atawezaje kukivuruga Chama sehemu ambayo hakubaliki; watu wameamua 'kumpotezea' na ndio maana tangu siku alipofukuzwa kutoka katika CUF hujasikia Kiongozi yeyote wa Chama akimzungumza. Zaidi hua anajiuliza maswali na kujipatia majibu mwenyewe sambamba na kupiga picha za 'kujiuzisha sura' na kina Mtalii Kikwete na Mr. Pinda; wapenda sifa wenzake! Nadhani tayari uchizi unaanza kumnyemelea!! Chezea Wapemba weweeeee! Kama hamumjui Maalim muulizeni Salmini Amour, Masauni Yussuf Masauni, George Kizuguto na wengineo (wote wamekua wafu hai) lakini Simba wa nyika ndio kwanza anadunda huku akiisubiria kuiona kwa macho yake JAMHURI YA WATU WA ZANZIBAR iliyo HURU ambayo itazaliwa hivi karibuni Mungu akipenda.
 
Mtatiro utujibu sasa;
mlimtuhumu hamadi rashidi ya kwamba nyendo zake zilikuwa na lengo la kukivuruga chama! hatua mliyochukua kwa madai yenu ilikuwa ni sahihi kwa mustakabali wa uwepo wa chama, mbona mnaonekana nyinyi ndo mmeendesha hujuma dhidi ya chama chenu wenyewe kwa faida ya sefu sharifu hamadi? semeni sasa kati ya sefu sharifu hamadi na hamadi rashidi nani kavuruga chama?
Hawezi kukujibu chochote leo asubuhi alikuwa hapa Musoma, Viktoria FM amebana maswali amebaki kutoa povu ile mbaya........

RIP CUF
 
Suali hili hakuna haja ya kulijibu Mtatiro, hata mimi naweza kukupatia majibu: Maalim Seif anatambulika Pemba yote na ni Mkombozi wa Wazanzibari (hata Raisi wako Kikwete na Padri wako Slaa wanalijua hilo) bali Hamad Rashid ni mtoto ambaye kwa Zanzibar hakuna sehemu nyengine ambayo anajuilikana ukiwatoa wanafamilia yake hapa Wawi. Sasa atawezaje kukivuruga Chama sehemu ambayo hakubaliki; watu wameamua 'kumpotezea' na ndio maana tangu siku alipofukuzwa kutoka katika CUF hujasikia Kiongozi yeyote wa Chama akimzungumza. Zaidi hua anajiuliza maswali na kujipatia majibu mwenyewe sambamba na kupiga picha za 'kujiuzisha sura' na kina Mtalii Kikwete na Mr. Pinda; wapenda sifa wenzake! Nadhani tayari uchizi unaanza kumnyemelea!! Chezea Wapemba weweeeee! Kama hamumjui Maalim muulizeni Salmini Amour, Masauni Yussuf Masauni, George Kizuguto na wengineo (wote wamekua wafu hai) lakini Simba wa nyika ndio kwanza anadunda huku akiisubiria kuiona kwa macho yake JAMHURI YA WATU WA ZANZIBAR iliyo HURU ambayo itazaliwa hivi karibuni Mungu akipenda.

Mpemba-Mbishi,

..mwisho mtaishia na Jamhuri ya watu wa Pemba.
 
Mpemba mbishi hivi kusema uwongo huoni aibu maana hapa muda huu ni vurugu tu mlingoti umeshangolewa rasmi muda huu na bendera imeshachanwa huoni aibu kusema upo wawi hapa barabarani kwa heri na muda huu ni kuelekea maeneo mengine
 
Lengo la CCM limetimia. When things Fall apart crossing the river between no longer at easy
 
Mpemba mbishi hivi kusema uwongo huoni aibu maana hapa muda huu ni vurugu tu mlingoti umeshangolewa rasmi muda huu na bendera imeshachanwa huoni aibu kusema upo wawi hapa barabarani kwa heri na muda huu ni kuelekea maeneo mengine

Mimi nimeshakujua wewe kijana wala hunipi tabu tena!! Kuendelea kubishana na wewe ni kupoteza muda bure! Vipi utandelea kubaki CCM au utajiunga na chama kipya cha ADC? Mganga njaa.
 
Suali hili hakuna haja ya kulijibu Mtatiro, hata mimi naweza kukupatia majibu: Maalim Seif anatambulika Pemba yote na ni Mkombozi wa Wazanzibari (hata Raisi wako Kikwete na Padri wako Slaa wanalijua hilo) bali Hamad Rashid ni mtoto ambaye kwa Zanzibar hakuna sehemu nyengine ambayo anajuilikana ukiwatoa wanafamilia yake hapa Wawi. Sasa atawezaje kukivuruga Chama sehemu ambayo hakubaliki; watu wameamua 'kumpotezea' na ndio maana tangu siku alipofukuzwa kutoka katika CUF hujasikia Kiongozi yeyote wa Chama akimzungumza. Zaidi hua anajiuliza maswali na kujipatia majibu mwenyewe sambamba na kupiga picha za 'kujiuzisha sura' na kina Mtalii Kikwete na Mr. Pinda; wapenda sifa wenzake! Nadhani tayari uchizi unaanza kumnyemelea!! Chezea Wapemba weweeeee! Kama hamumjui Maalim muulizeni Salmini Amour, Masauni Yussuf Masauni, George Kizuguto na wengineo (wote wamekua wafu hai) lakini Simba wa nyika ndio kwanza anadunda huku akiisubiria kuiona kwa macho yake JAMHURI YA WATU WA ZANZIBAR iliyo HURU ambayo itazaliwa hivi karibuni Mungu akipenda.

Laiti kama Mwalimu Nyerere angejua ni watu wa aina gani anatuunganisha nao, angewaacha wakae huko kwao wabaguane wenyewe kwa wenyewe.
Mpemba mbishi laiti ugejua jinsi Watanganyika wameuchoka muungano na watu wa huko kwenu (Wapemba), usingekaa kuropoka maneno yako ya kuonesha kwamba mmeuchoka huu muungano. Namshukuru Mungu hata huko Mtwara(ambao ndio walikua bado wanawatambua) wameanza kukishtukia hiki chama chenu cha Wabaguzi na wanarudi kundini.
Kifo cha Cough Tanzania ni dalili nzuri za kuonesha kwamba Watanganyika tumewachoka. Nazidi kumuomba Mungu muondoke kwa amani mkatengane huko huko msije mkatufundisha ubaguzi.
RIP COUGH
JMT UR NEXT!
 
Suali hili hakuna haja ya kulijibu Mtatiro, hata mimi naweza kukupatia majibu: Maalim Seif anatambulika Pemba yote na ni Mkombozi wa Wazanzibari (hata Raisi wako Kikwete na Padri wako Slaa wanalijua hilo) bali Hamad Rashid ni mtoto ambaye kwa Zanzibar hakuna sehemu nyengine ambayo anajuilikana ukiwatoa wanafamilia yake hapa Wawi. Sasa atawezaje kukivuruga Chama sehemu ambayo hakubaliki; watu wameamua 'kumpotezea' na ndio maana tangu siku alipofukuzwa kutoka katika CUF hujasikia Kiongozi yeyote wa Chama akimzungumza. Zaidi hua anajiuliza maswali na kujipatia majibu mwenyewe sambamba na kupiga picha za 'kujiuzisha sura' na kina Mtalii Kikwete na Mr. Pinda; wapenda sifa wenzake! Nadhani tayari uchizi unaanza kumnyemelea!! Chezea Wapemba weweeeee! Kama hamumjui Maalim muulizeni Salmini Amour, Masauni Yussuf Masauni, George Kizuguto na wengineo (wote wamekua wafu hai) lakini Simba wa nyika ndio kwanza anadunda huku akiisubiria kuiona kwa macho yake JAMHURI YA WATU WA ZANZIBAR iliyo HURU ambayo itazaliwa hivi karibuni Mungu akipenda.

Wanachama wanapululuka wewe mwenzetu huoni, zama hizi umajisifia uchawi! upemba!!! mtatawaliwa na ccm mpauke kama punda kihongwe, hamna tena uwezo wa kushika dola znz, kwa hiyo pilika pilika zenu zitaishia kwenye urojo, Ingawa hivyo namsubiri MTATIRO anijibu, kati ya sefu sharifu hamadi na hamadi rashidi nani kavuruga kafu, Tunaimissssss Ngangari. atakaye kuiponya nafsi yake ataiangamiza na atakaye kuiangamiza ataiokoa-holy bible.
 
Back
Top Bottom