dudus
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 22,116
- 49,358
Exactly, kwanini isiwaachia CUF na wananchi wa zanzibar na watanganyika waamue kama ni wapinzani au la? wameolewa au la?
Taasisi kama TEC na maaskofu vilevile waache kutoa waraka kuwaelekeza waumini wapige kura mgombea fulani..hapo ndio wananchi wataamua kwa haki..bila ...
Ni kweli wananchi wana kila haki ya kuachwa waamue wenyewe ila hapo kwenye red tunarudia kosa lile lile yaani uongo. Kwa "maaskofu" wengine sijui ila kwa TEC nimesoma nyaraka zao mbalimbali sikupata hata mara moja mahali panapowataka "wakristo" kuchagua au kutochagua chama fulani bali mpiga kura mwenyewe apime na kuamua kwa usahihi ni chama na mgombea gani anayefaa kwa maendeleo ya watanzania wote.
Daima nyaraka zao ziko "neutral". Katika "kujibu mapigo", kana kwamba ni mashindano, wakati wa uchaguzi mkuu 2010 waislamu nao wakatoa wa kwao - full udini na kuwataka waislamu wasikipigie kura chama fulani. Upuuzi huu ndio usiotakiwa!
Hebu kumbuka ya Igunga kana kwamba ilikuwa ni mashindano kati ya Bakwata/CCM/CUF kwa ajili ya "maslahi ya waislamu" kwa upande mmoja dhidi Chadema ambayo haikuwa na fungate na dini yoyote kwa upande mwingine. "Upuuzi" huu ndio usiotakiwa