Chma cha CUF ni chama kilchotokea kuw maarufu sn tz! Hivi sasa tumeshuhudia unafiki mkubwa wa wabunge wake kukishambulia chama kikuu cha upinzan cdm!prof lipumba amepotea kisiasa,hata hasikiki tena.ni chama kilchokuw kinadai pia maandamano kutetea maslah y taifa.
Je watz wameshapata haki zao? Au maslahi yalikuwa ya kina Sharif Hamad! Je bado ni chama cha upinzani Au cha kinafiki?
Niendelee kubaki CUF?
Je watz wameshapata haki zao? Au maslahi yalikuwa ya kina Sharif Hamad! Je bado ni chama cha upinzani Au cha kinafiki?
Niendelee kubaki CUF?