Mwiba
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 7,607
- 1,744
Huu ni uchunguzi wa muda mrefu ambao hata wewe ndugu msomaji hapa kama utajichungua basi mwisho wake utagundua kuwa wewe ni CUF damdam ,yaani hakuna ubishi juu ya jambo hili kamfano kadogo chukulia wewe upo Chadema au lichama lingine ghafla unaamua kutoka chama hicho ,basi chaguo lako la mwanzo litakuwa CUF, tatizo ambalo pia linakuhakikishia kuwa watu wengi ni CUF ni pale panapotokea patashika katika chama kingine ,ili mtu aone wengine watakasirika basi uamuzi wake wa mwisho ni kujiunga na CUF ,iwe peke yake au huondoka na kundi zima na kujiunga na CUF,tena hapo inakuwa ndio amefanya jambo ambalo litawauma sana viongozi wa kule anakotokea.
Sijasikia kundi fulani kutoka chama na kusema wataunga mkono NCCR au Chadema bali utasikia wanajiunga na CUF.Na jambo lingine ni kuwa ikiwa Chadema hawatopata kiti hata kimoja cha ubunge unafikiri chama hiki kitasurvive au ndio utakuwa mwisho wake ,historia inaonyesha chama kilichivuka mtihani huu ni CUF pekee,kilichofanya maajabu kutokea mshindi wa pili lakini hakuna ubunge hata pamoja !!!
Sijasikia kundi fulani kutoka chama na kusema wataunga mkono NCCR au Chadema bali utasikia wanajiunga na CUF.Na jambo lingine ni kuwa ikiwa Chadema hawatopata kiti hata kimoja cha ubunge unafikiri chama hiki kitasurvive au ndio utakuwa mwisho wake ,historia inaonyesha chama kilichivuka mtihani huu ni CUF pekee,kilichofanya maajabu kutokea mshindi wa pili lakini hakuna ubunge hata pamoja !!!