CUF Ndio waamuzi wa kupata katiba mpya au la!

ibange

JF-Expert Member
Dec 31, 2010
1,545
550
Mswada mpya unasema ili katiba mpya ipite lazima pande mbili za muungano zipitishe kwa theluthi mbili kwa maana ya bunge maalum la katiba na referandum.

Ina maana kuwa CUF ndio watakuwa waamuzi maana wasipounga mkono upande wa znz haitapita. kwa mfano CUF wanaweza kusema bila serikali tatu hawatapitisha katiba. Ukipeleka serikali mbili znz huwezi kupata theluthi mbili, nafikiri imeeleweka na ndio ulikuwa msingi wa hoja ya Tundu Lissu jana!
 
Sina uhakika kama ndiyo maana ya Lisu coz hakuiweka dhahiri.Lakini jambo ambalo ndugu yangu wapaswa kujua ni kwamba pamoja na ukweli kwamba CUF ndio chama chenye nguvu kubwa ya umma Zanzbar na hata kimaamuz( kama maana yako ndo hiyo), ila Wanzabari sasa kwenye kutetea maslahi ya Zanzibar hawagawanyiki kichama bali CUF na CCM wanakuwa kitu kimoja kama wazanzibar.Nahii imekuja baada ya muafaka.Il ila katika hili la Muungano LISU(chadema) wanapaswa kuwa makini sana,laweza ibua tusiyoyategemea.
 
Mswada mpya unasema ili katiba mpya ipite lazima pande mbili za muungano zipitishe kwa theluthi mbili kwa maana ya bunge maalum la katiba na referandum.

Ina maana kuwa CUF ndio watakuwa waamuzi maana wasipounga mkono upande wa znz haitapita. kwa mfano CUF wanaweza kusema bila serikali tatu hawatapitisha katiba. Ukipeleka serikali mbili znz huwezi kupata theluthi mbili, nafikiri imeeleweka na ndio ulikuwa msingi wa hoja ya Tundu Lissu jana!
katiba ya tanganyika itaamuliwa na either watanganyika kama wanataka au watanzania(sina uhakika kama wapo)tofauti na hivyo itakuwa batili kama itaamuliwa na madiwani(isomeke kwa idadi ya wanaowachagua)
cuf na ccm hawatakuwa na jipya zaidi ya yaleyale(miafaka isiyo na tija kwa tanganyika)
kifupi kama akili zako ndio hizo za kuozesha chekechea hakuna muungano likja suala la katiba.
 
katiba ya tanganyika itaamuliwa na either watanganyika kama wanataka au watanzania(sina uhakika kama wapo)tofauti na hivyo itakuwa batili kama itaamuliwa na madiwani(isomeke kwa idadi ya wanaowachagua)
cuf na ccm hawatakuwa na jipya zaidi ya yaleyale(miafaka isiyo na tija kwa tanganyika)
kifupi kama akili zako ndio hizo za kuozesha chekechea hakuna muungano likja suala la katiba.
Mi kama mwananchi kutoka upande wa zanzibar hoja yangu katika suala la muungano,nitapendekeza tanzania kuvua kovi la muungano,na badala yake itambulike kama Repulic of tanzania badala ua unite republic of tanzania,baadae ndio tujadili muungano.

Kumtumia maalim seif na baraza la wakilishi ni mtego wa wazanzibari,kwa sababu maalim seif na chama chake anakubalika zanzibar kwa asilikia zaid ya 60,kwa maana hiyo wananchi mategemeo yao ni kuwa maalim anaweza akatetea maslahi ya zanzibar kwa vile anvyo ahidi katika kampeni zake,kwa maana hiyo ikiwa maalim ataenda mchomo juu ya mjadala wa katiba,basi itakuwa ni hasara kubwa kwa wazanzibari wote.

Ushauri kwa maalim seif kabla hajaweka kikao na baraza la wakilishi,ahakikishe kuwa wawakilishi wa baraza la wakilishi wamechukua maoni kwa wananchi wao nini wanataka kujadili katika masula ya muungano,na nini hawataki kujadili na wanataka mfumo upi,ili wakati kutakapo fanyika kikao wawe wamejindaa vya kutosha ili kuweza kuweka hoja.
 
Inashangaza na kutia hasira suala la Katiba kutaka kupitishwa kwa style kama hiyo. Watanganyika tupo mil. 43, wakati zanzibar wapo mil. 1. Sasa hapo uwiano uko wapi? La msingi referendum iletwe kwa wananchi tuijadili bila kuangalia uwiano wa idadi ya wajumbe maalum kutoka pande mbili za muungano. Wazanzibar wengi ukiwauliza kuhusu muundo wa katiba unaotakiwa hata hawauelewi. Mawazo yao yote wanafikiria mafuta. Wanataka wajitenge na Tanganyika ili wajichimbie mafuta. Unapozungumzia CUF unazungumzia CCM-B.
 
Inashangaza na kutia hasira suala la Katiba kutaka kupitishwa kwa style kama hiyo. Watanganyika tupo mil. 43, wakati zanzibar wapo mil. 1. Sasa hapo uwiano uko wapi? La msingi referendum iletwe kwa wananchi tuijadili bila kuangalia uwiano wa idadi ya wajumbe maalum kutoka pande mbili za muungano. Wazanzibar wengi ukiwauliza kuhusu muundo wa katiba unaotakiwa hata hawauelewi. Mawazo yao yote wanafikiria mafuta. Wanataka wajitenge na Tanganyika ili wajichimbie mafuta. Unapozungumzia CUF unazungumzia CCM-B.
Suala la uwiyano hapo mjomba uwino unaochukuliwa kana wa kinchi,sio uwiyano wa watu,zanzibar ilipounda na tanganyika ilikuwa ni nchi huru kabisa sovereign state,na tanganyika ilikuwa hivyo hivyo.

Kwa maana hiyo,kila upande una haki ya kutoa maoni kwa usawa. Zanzibar ni nchi tanganyika ni nchi,hata huko katika umoja wa mataifa,Usa INAWAKILISHWA na mtu mmoja tu,china mtu 1 tu,na wingi wa population zao,iceland,ireland,na visiwa vyengine vidogo vidogo vinawakiliswa na mtu mmoja ndani ya umoja huo,haijalishi wingi wa watu wako ni kama taifa tu.

Na katika suala hili,zanzibar ina haki kutoa maone kimpango wake,na kwa uhuru,ikiwa wanataka muungano gani,au hawataki hilo ni maamuzi ya wazanzibari wenyewe bila ya kungiliwa.
 
Suala la uwiyano hapo mjomba uwino unaochukuliwa kana wa kinchi,sio uwiyano wa watu,zanzibar ilipounda na tanganyika ilikuwa ni nchi huru kabisa sovereign state,na tanganyika ilikuwa hivyo hivyo.
Kwa maana hiyo,kila upande una haki ya kutoa maoni kwa usawa. Zanzibar ni nchi tanganyika ni nchi,hata huko katika umoja wa mataifa,Usa INAWAKILISHWA na mtu mmoja tu,china mtu 1 tu,na wingi wa population zao,iceland,ireland,na visiwa vyengine vidogo vidogo vinawakiliswa na mtu mmoja ndani ya umoja huo,haijalishi wingi wa watu wako ni kama taifa tu.
Na katika suala hili,zanzibar ina haki kutoa maone kimpango wake,na kwa uhuru,ikiwa wanataka muungano gani,au hawataki hilo ni maamuzi ya wazanzibari wenyewe bila ya kungiliwa.

Shida ni kwamba hata yale mambo ambayo ni non-union, yanayohusu bara pekee na nyie mtayaamua. Ni haki kweli ZNZ kushiriki kwenye kila kitu hata ambacho hakiwahusu? Mbona BARA hatukuja kwenye kura ya maoni ya katiba yenu?
 
Mswada mpya unasema ili katiba mpya ipite lazima pande mbili za muungano zipitishe kwa theluthi mbili kwa maana ya bunge maalum la katiba na referandum.

Ina maana kuwa CUF ndio watakuwa waamuzi maana wasipounga mkono upande wa znz haitapita. kwa mfano CUF wanaweza kusema bila serikali tatu hawatapitisha katiba. Ukipeleka serikali mbili znz huwezi kupata theluthi mbili, nafikiri imeeleweka na ndio ulikuwa msingi wa hoja ya Tundu Lissu jana!


hakuna cha CUF wala Zanzibar, kama Zanzibar ni kikwazo ila Watanganyika tupate Katiba mpya ni bora wapemba wote warudi kwao nasi tubaki na Tanganyika yetu. Kwanza mimi sioni umuhimu wa Muungano kwa Raia wa kawaida Mtanganyika.
 
Tanganyika, Tanganyika,nakupenda kwa moyo wote,

nchi yangu Tanganyika,jina lako ni tamu sana.

Nilalapo nakuota wewee,niamkapo ni heri mama wee....
 
Tanganyika, Tanganyika,nakupenda kwa moyo wote,
nchi yangu Tanganyika,jina lako ni tamu sana.
Nilalapo nakuota wewee,niamkapo ni heri mama wee....

Hata mimi ningependa sana kusikia wimbo huu lakini ndo hivyo...
Tanganyika iliuliwa kikatili mwaka 1964 na huwa tunafanya
kumbukumbu ya kifo chake kila Aprili 26. Why? Tunaihitaji
Tanganyika yetu vinginevyo hakuna umuhimu wa kusherehekea
9 Desemba kila mwaka (mwaka huu tunajisifu kutimiza miaka 50!).
Tunasherehekea uhuru wa taifa gani ambalo limepotezwa kwenye
ramani ya dunia? This is shame!
 
umuhimu wa tanganyika na zanzibar utakuja kuonekana wakati muungano ukivunjika,,msisahau western wanadondosha madenda yao wakisubiria utengano, zanzibar itakuwa ulaya ndogo ya Africa,zamani kama kuingia znz ilikuwa mpaka uwe na ppt mara hii mpaka ugongewe viza tena kwa proper documents.....sio kwa kigezo cha udanganyika...
 
@mtama mchungu
ndio maana nyie watanganyika munatakiwa muache unafiki, munatakiwa mudai tanganyika yenu na katiba ya tanganyika huru. Halafu ndio tuje tujadili kwa pamoja katiba ya muungano.

Lkn nyie munajifanya wajanja hali yakuwa kumbe ni wajinga sana, munataka eti katiba ya muungano iwe ndio katiba ya tanganyika kama ilivyo sasa.

Kwa hilo wazanzibari hatutakubali na tuko tayari kutoa roho zete ktk kutetea uhuru wa nchi yetu na utamaduni wetu na kama hamuamini subirini mutaona endeleeni kuleta utani.
 
@mtama mchungu
ndio maana nyie watanganyika munatakiwa muache unafiki, munatakiwa mudai tanganyika yenu na katiba ya tanganyika huru. Halafu ndio tuje tujadili kwa pamoja katiba ya muungano.

Lkn nyie munajifanya wajanja hali yakuwa kumbe ni wajinga sana, munataka eti katiba ya muungano iwe ndio katiba ya tanganyika kama ilivyo sasa.

Kwa hilo wazanzibari hatutakubali na tuko tayari kutoa roho zete ktk kutetea uhuru wa nchi yetu na utamaduni wetu na kama hamuamini subirini mutaona endeleeni kuleta utani.

Mbona hata wazanzibari ni wanafiki kwa kuwa wameridhika na mfumo uliopo?
Namaanisha wazanzibari waliopo CCM kama ilivyo kwa Watanganyika waliopo CCM
unaowakusudia wewe. Kwa hiyo toa kwanza BORITI kwenye jicho lako ndipo utaweza
kuona kibanzi kwa Watanganyika.
 
Shida ni kwamba hata yale mambo ambayo ni non-union, yanayohusu bara pekee na nyie mtayaamua. Ni haki kweli ZNZ kushiriki kwenye kila kitu hata ambacho hakiwahusu? Mbona BARA hatukuja kwenye kura ya maoni ya katiba yenu?
Nakuuliza mambo yepi ya bara ambayo zanzibar wanaamua,kumbuka kuwa mambo ya bara yalikuwa chini ya serilai ya Tanganyika,sasa tanzania inasimamia masuala ya muungano,sasa jiulize mambo gani ambayo ya bara huamuliwa na zanzibar ?

Soma hapa katika gazeti la ..

Wabunge kutoka Zanzibar wameishambulia hotuba ya Msemaji Mkuu wa Kambi ya Rasmi ya Upinzani wa Wizara ya Katiba na Sheria, wakisema Zanzibar si koloni la Tanganyika.

Walitoa kauli hiyo wakati wakichangia hotuba ya kambi hiyo kuhusu makadiro ya matumizi ya wizara hiyo kwa mwaka 2011/2012.
Hotuba hiyo iliwasilishwa bungeni juzi na Msemaji Mkuu wa Kambi hiyo ambaye pia ni Mbunge wa Singida Mashariki (Chadema), Tundu Lissu.
Mbunge wa Magomeni (CCM), Muhammad Amour Chomboh, alisema maneno yaliyotolewa na Lissu ni ya ufedhuli.
"Napenda kumfahamisha yeye (Lissu) pamoja na wengi walio humu ndani wenye mawazo mgando kama yeye na waliokuwapo nje ya jumba hili, Zanzibar sio koloni la Tanganyika na halitakuwa hata siku moja koloni la Tanganyika. Na mheshimiwa Lissu Agosti 8 mwaka huu, alizungumza huyu kuhusiana na mambo ya Muungano kuchangia katika hotuba ya Muungano akajaribu kuwataja viongozi, ambao ni victim (waathirika) wa Muungano, ambao ni muongo na mnafiki," alisema.

Aliongeza: "Nataka kumwambia kuwa Wanzanzibari hawatakubaliana na mpuuzi yoyote na uozo wowote, ambao umezungumzwa hapa kwa minajili ya kutaka kutugombanisha," alisema.
Alipotaka kuendelea, alikatishwa na Lissu aliyekuwa akiomba utaratibu.
Kwa mara nyingine, Lissu alisimama akitaka kutoa taarifa hata hivyo, lakini Spika wa Bunge, Anne Makinda, aliingilia kati na kuwataka wabunge wote kuwa wavumilivu na kisha kumruhusu Chomboh kuendelea kuchangia.
Mbunge wa Tumbe (CUF), Rashid Ali Abdallah, alisema kauli aliyoitoa Lissu wakati akisoma hotuba hiyo, inaonyesha kuwa haelewi maana ya taifa.
"Haelewi historia ya Zanzibar. Na kwa maana hiyo, mwelekeo wa Kambi ya Upinzani umepotea njia. Nadhani haya ni maoni yake. Unaposema Rais wa Zanzibar atolewe katika mambo yanayohusiana na Muungano una maana gani? Ipo serikali ya Tanganyika kujadili mambo ya Tanganyika hapa?" alihoji.

Aliongeza: "…Nazungumza hili kwa uchungu kabisa. Huyu ni msomi, lakini sijui amehitimu vipi usomi wake…jambo la msingi ni kuimarisha taifa letu liwe na nguvu lenye utawala bora na misingi ya uwajibikaji. Mawazo haya ya mheshimiwa waziri kivuli wa katiba na sheria ni mawazo funyu, yamepitwa na wakati na hayatapewa nafasi."
Naye Mbunge wa Donge (CCM), Sadifa Juma Khamis, alisema mazungumzo yaliyotolewa na Lissu juzi yamevunja hata Katiba iliyopo hivi sasa.
Aliwataka kuangalia kifungu namba nane na namba tisa vya Katiba, vinavyomtaka mwananchi kushiriki kikamilifu katika kutoa maoni yanayohusu nchi yake ya Tanzania.
Alisema kungekuwa na Serikali ya Tanganyika wasingeingilia mambo yanayohusu serikali hiyo.
Waziri wa Katiba na Sheria, Celina Kombani, alisema Lissu katika hotuba alitoa maneno ya uchochezi.
CHANZO: NIPASHE

Umeona hapo red
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom