Adharusi JF-Expert Member Jan 22, 2012 14,402 7,310 Jan 23, 2012 #1 Wabunge wa Cuf na Nccr kuwatenga kina Ahmad na kafulila chanzo ni gazet habar leo
AdvocateFi JF-Expert Member Jan 15, 2012 11,492 5,040 Jan 23, 2012 #5 Lakini kafulila stil ni chuma cha ukweli.
zagalo Senior Member Mar 5, 2009 128 42 Jan 23, 2012 #6 Post habari kamili wewe, sio vipande vipande!
ZALEOLEO Senior Member Oct 11, 2011 116 18 Jan 23, 2012 #7 kuna tofauti gani kati ya post yako na kichwa cha habari?
Mkondakaiye JF-Expert Member Dec 5, 2011 838 174 Jan 23, 2012 #8 Kutasaidia nini wakati jamaa watakuwa wanavuna posho zao na huku wanaendelea kuchangia hoja?
Rocket Senior Member Apr 11, 2011 133 7 Jan 23, 2012 #9 watu wengine bana.....yaani katuletea habari kama iko hewani
L Lsk Senior Member Oct 10, 2011 178 26 Jan 23, 2012 #10 ...jifunze kuandika thread,sio unaleta heading badala ya post.