KIM KARDASH
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 5,139
- 1,139
Imekua ni aghalabu panapotokea mikusanyiko ya vyama vya siasa hususan chama kimoja cha siasa hapa nchini ambacho nisingependa kukitaja kwa kuepuka fitna muda mwingi kutumika kufanya siasa za maji taka.... .siasa za kusema na kukichafua ccm pamoja viongozi wake instead of politics of issues,the folks are more than happy to talk about everything they think is wrong with ccm na serikali yake but they didn't have much to say about how they will make it right...wanasema watatoa elimu bure ukiwauliza vyanzo vyao vya mapato vitakavyowawezesha kutekeleza hilo wanaitisha press com. Sio kujibu hoja bali kukutukana na kudai hufai hata kuwa kiongozi wa kata n.k wametawaliwa na uoga usio na msingi... Naomba nichukue nafasi hii ya thamani sana kukipongeza chama cha siasa cha cuf hasa bwana lipumba kutokana na kuzungumza mambo ambayo watanzania wanapea kuyasikia.
lecture ya lipumba leo jangwani:anasema tanzania inakusanya bilioni 400 na nusu kila muda mfupi toka mauzo ya mali asili..ambapo kila mtanzania anaweza kugaiwa dola 100 kwa ajili ya shuguli zake binafsi...na anatoa mifano kwamba hili limewezekana nchi za alaska..mongolia na bolivia.
Nawasilisha.
lecture ya lipumba leo jangwani:anasema tanzania inakusanya bilioni 400 na nusu kila muda mfupi toka mauzo ya mali asili..ambapo kila mtanzania anaweza kugaiwa dola 100 kwa ajili ya shuguli zake binafsi...na anatoa mifano kwamba hili limewezekana nchi za alaska..mongolia na bolivia.
Nawasilisha.