Mr Mayunga
JF-Expert Member
- Jun 11, 2011
- 313
- 40
Jana nimepita maeneo ya ikwiriri nikashuhudi CUF inapiga kampeni za ubunge wa 2015.Walikuja na slogani inayosema "haki sawa",lakini baadhi yakundi fulani walikua wanatafuta maana ya hiyo slogan,sababu wanaelewa haiwezekani watu kuwa sawa.Tena,nilidhani wataelimisha wananchi katiba iliyopita sababu ndiyo "burning issue",wao wanapiga kampeni za ubunge za miaka mi3 ijayo,hii haijakaa sawa CUF,hebu twendeni na wakati.