Hivi wewe na Malaria Sugu mna tofauti gani?...ni Vema ukawatanabaisha wananchi vizuri DINI ya CUF ni ipi ili wawe makini wakati wa Uchaguzi.sio lazima kuungana ila cuf wanaweza tu kujitoa kwani hakuna haja ya wao kugombea urais labda kule visiwani......................kumbuka cuf ni chama cha kidini mno kwa hiyo hawawezi kuchanganywa hawa kwani wao wanafikiria kitu kimojas tu wakishika dola yaani....oic na mahakama ya kadhi..........
wacha wafe peke yao tuachieni chadema yetu ikiongozwa na mkuu sana DR.SLAA...Nami mimefurahishwa sana na uteuzi huu wa chadema