Bishop Hiluka
JF-Expert Member
- Aug 12, 2011
- 7,140
- 14,678
CUF ikaze Zanzibar kuiondoa CCM? Au sijakuelewa vizuri nini?...
ni sawa but kwanini tukamilishe mzunguko wa kuwa kwenye duara moja
CUF join CCM
CUF join CDM
Therefore
CDM and CCM are joine together indirect as a result no upinzani tanzania
ni sawa but kwanini tukamilishe mzunguko wa kuwa kwenye duara moja
CUF join CCM
CUF join CDM
Therefore
CDM and CCM are joine together indirect as a result no upinzani tanzania
Kweli mfa maji haachi kutapatapa. Vipi ule mgogoro wao wa kuchapana makonde kule Arusha umekwisha na sasa wanataka kuungana? Huyu Mtatiro kweli sasa nimeona anataka kuhamia CDM. Nataka kuwa kama mtabiri, miezi miwili haitapita tutamsikia kule kwa vidole viwili kwani kauli hii ni mpya kabisa kutoka kwa huyu mkiristo.
Kweli Vita ya Panzi furaha ya kunguru....
Ukisoma comments hapa utagundua watu siasa hawazijui au wanajifanya hawazijui....
Mwisho wa siku CCM Watatawala kwa Miaka 100 ijayo kama wanavyodai....
If the idea is multipartism: Then
CUF + CCM = CCM under control
CUF + CDM = CCM under control + CDM
CCM under control + CDM = CCM Under control
Therefore: CUF + CDM + CCM = CCM Under control
Unaweza kujua nani yuko nyuma ya huu ushauri.
Siasa za Tanzania si Zambia.....Mimi sijasema CHADEMA Waungane na CUF...Tanzania ni nchi changa sana ...lakini ina utitiri wa Vyama Vya siasa..na kila siku vinaanzishwa vipya....Unajua CCM ina Umri gani ?Unajua CHADEMA NA CUF vina Umri gani ?Hydrobenga,
Ingekuwa hivyo basi kule Zambia MMD(CCM) isingeondolewa madarakani na chama cha PF (CHADEMA) baada ya kusalitiwa na UPND(CUF ya Zambia)
Muungano wa kutaka kuiondoa CCM madarakani tu unaweza kweli kufanikiwa kuiondoa lakini hautafanikiwa kuliongoza taifa. Utakuwa ni muungano wenye la kuiondoa CCM tu. Ni lazima kuwepo muungano wa maono, sera, malengo, fikra n.k Huwezi kumfunga farasi na ng'ombe halafu ukawataka walime...