ofcoz CUF ... hakina ukanda wala ukabila...
ofcoz CUF ... hakina ukanda wala ukabila...
mfu na aliye hai nani ni bora??
Hapo toa chama kipi bora. Je unaposema mfu nani mfu?
Chadema mfu? CUF mfu?
Ukiongelea CHADEMA mfu mbona ina washa moto tanzania Bara?
Ukiongelea CUF mfu mbona Moto hauzimiki Tanga, Dar, na Visiwani?
Please nomba isikalili Soma alama za nyakati.
Ila udini na majungu eti?
Duh.. Unaishi sayari gani ati? Yaani kati ya cuf na chadema hujui nani mfu.. Lipumba yuko wapi kwanza watu wameshamsahai zamani .. Seif ndio kabisaa kaolewa na ccm kanyamaza anawafadhili uamsho kimya kimya ili waichukue zanzibar yao.una la kusema tena?
Hapo toa chama kipi bora. Je unaposema mfu nani mfu?
Chadema mfu? CUF mfu?
Ukiongelea CHADEMA mfu mbona ina washa moto tanzania Bara?
Ukiongelea CUF mfu mbona Moto hauzimiki Tanga, Dar, na Visiwani?
Please nomba isikalili Soma alama za nyakati.
Sizani kama mleta mada anajua anacho kiandika!
Mimi ninataka kujua kipi chama bora? na kwann?