bushman
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 2,411
- 743
Siku mbili sasa kumekuwa na taarifa za maandamano ya nchi nzima yanayoandaliwa na cha cha wananchi (cuf) kupinga ukikwaji mkubwa wa haki za binadamu unaofanywa na jeshi la polisi ,nimeshaangaa kwa sababu walishawahi kupinga maandamano ya cdm kwa matamko makali,mwaka 2007 kule zanzibar polisi haohao wa serikali ya ccm waliwaua wafuasi wa cuf waliokuwa wakiandamana,mwaka huu arusha wakaua wafuasi wa cdm,sasa mlitegemea kuwa kutokana na ndoa ya ccm na cuf zanzibar,huku bara wangewabaka(watandika) polepole polisi?mwalimu wangu wa siasa alishawahi nipa mfano alipokuwa akifanananisha serikali inayotumia nguvu ni sawa na mbakaji akikubaka hata mara 3 atatumia nguvu tu?kwa hiyo mlikuwa hamjui kwamba serikali ya ccm nisawa na mbakaji?msitegemee kupata favour kutokana na ndoa ya zanzibar wakitaka kubaka (kupiga na kuua) hawataangalia nani cdm na nani ni cuf,watabaka tu kwa nguvu ili mradi wabaki madarakani njia zzte zile hata kama sio halali.