hasan124
JF-Expert Member
- Jan 2, 2012
- 716
- 128
Yaliyojiri Mahakama KUU Kanda ya Dar ES Salaam leo tar. 15-10-2012, Kesi ya Mhe. Hamad Rashid Mohamed (MB) jimbo la Wawi CUF na wenzake dhidi ya chama cha Wananchi CUF.
Katika ishara inayoonyesha kwamba hali ni tete Upande wa washitakiwa ie; CUF , Jaji Agustino Shangwa akiendesha kesi hii akasema yafuatayo:
1. Alimuagiza karani wa Mahakama akatafute Majaji wawili ashauriane NAo Kabla hajatoa hukumu.
2. Kwa kuwa kesi husika charges zake zinahitaji watuhumiwa WAFUNGWE JELA na SI vinginevyo, anaisogeza mbele ili apate kushauriana na Majaji wenzake Kabla ya hukumu.
3. Akashauri, kwa nini haya makundi mawili wasikae kutafuta suluhu na kuyamaliza nje ya Mahakama mpaka wanafikia kuhukumiana.
4. Mwisho, Jaji Shangwa akasema, Kwa kuwa Nchi ina joto/vuguvugu la kisiasa liko juu ameonelea aisogeze mbele hadi tar. 05-12-2012 ndio atatoa HUKUMU.
Katika hali inayoonyesha kuweweseka wakili wa CUF Job Kirario alionekana akizungumza na Kiongozi Mmoja Muandamizi wa chama kipya cha kisiasa cha ADC (mmoja kati ya viongozi waliojiengua CUF wakati timuatimua imeshika kasi) akiomba suluhu na suala husika lirudi chamani (CUF), wayamalize nje ya Mahakama.
Kwa ufupi mazingira Mahakamani pale kwa yeyote aliye timamu atakuwa ameona dhahiri ni jinsi gani hali ilivyo tete kwa chama hiki kikongwe cha Upinzani NCHINI Tanzania.
Kesi hii inaweza kuwa ni Fundisho kubwa katika suala zima la utii wa sheria bila shuruti na hakuna aliye juu ya Mahakama awe Rais, MAKAMU WA RAIS, Mbunge, Mfanyabiashara au Hata Mlalahoi huku Uswahilini kwetu.
Katika ishara inayoonyesha kwamba hali ni tete Upande wa washitakiwa ie; CUF , Jaji Agustino Shangwa akiendesha kesi hii akasema yafuatayo:
1. Alimuagiza karani wa Mahakama akatafute Majaji wawili ashauriane NAo Kabla hajatoa hukumu.
2. Kwa kuwa kesi husika charges zake zinahitaji watuhumiwa WAFUNGWE JELA na SI vinginevyo, anaisogeza mbele ili apate kushauriana na Majaji wenzake Kabla ya hukumu.
3. Akashauri, kwa nini haya makundi mawili wasikae kutafuta suluhu na kuyamaliza nje ya Mahakama mpaka wanafikia kuhukumiana.
4. Mwisho, Jaji Shangwa akasema, Kwa kuwa Nchi ina joto/vuguvugu la kisiasa liko juu ameonelea aisogeze mbele hadi tar. 05-12-2012 ndio atatoa HUKUMU.
Katika hali inayoonyesha kuweweseka wakili wa CUF Job Kirario alionekana akizungumza na Kiongozi Mmoja Muandamizi wa chama kipya cha kisiasa cha ADC (mmoja kati ya viongozi waliojiengua CUF wakati timuatimua imeshika kasi) akiomba suluhu na suala husika lirudi chamani (CUF), wayamalize nje ya Mahakama.
Kwa ufupi mazingira Mahakamani pale kwa yeyote aliye timamu atakuwa ameona dhahiri ni jinsi gani hali ilivyo tete kwa chama hiki kikongwe cha Upinzani NCHINI Tanzania.
Kesi hii inaweza kuwa ni Fundisho kubwa katika suala zima la utii wa sheria bila shuruti na hakuna aliye juu ya Mahakama awe Rais, MAKAMU WA RAIS, Mbunge, Mfanyabiashara au Hata Mlalahoi huku Uswahilini kwetu.